Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

hiyo heading ilitakiwa isomeke

Nchi hatari zaid kwa binadamu washenzi kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia​

Mkuu inategemea uko upande gani kama upo upande wa wanyongaji basi kwako wanaonyongwa ni washenzi!
Lakini kama upo upande wa wanyongwaji mara nyingine inaweza isiwe na huo mtazamo
 

Attachments

  • 73ACF944-5E4D-4C1B-843D-40E6DBCD76DF.jpeg
    1.3 MB · Views: 3
  • F6DFC34F-C697-41AB-9806-486654D8FA4D.jpeg
    867.4 KB · Views: 3
  • D42E45B2-84B7-4D9A-A2C3-5CF287660C07.jpeg
    1,018.6 KB · Views: 3
Kaushi Isreal uone .Isreal kila mtu analindwa na askari 10
 
Haki za binadamu za israel na USA ndio kunafaa ndio maana mnaingiliana wanaume kwa wanaume kwa kisingizio cha haki za binaadamu
 
Sasa kama we msaliti wa mother nation utaachwa?
Yaani we unakua rafiki na adui wa taifa lako.
We ndo wa kuunganisha assassination plot dhidi ya viongozi wa kijeshi, mabalozi na wanausalama wengine.
Wewe ndo mhamasishaji wa maandamano hatari juu ya taifa lako Kwa jina la demokrasia.
Nani akuache?
Hata hapa home hutabaki salama.
 
Vipi walionyongwa kisa kuandamana
 
Vipi walionyongwa kisa kuandamana
Yaani maandamano Kwa nchi kama Iran ukionesha kuwa muumini wa mitizamo ya kimagharibi kama demokrasia Yao. Utaondoka.
Ni kama Kwa nchi kama Israel uanze kuonesha misimamo ya kuiunga mkono Iran . Hutabaki salama.
Ulizia kilichompata Yizhak Rabin alipojaribu normalization na Wapalestina.
Pia ulizia kilichompata JFD alipojaribu normalization na Soviet.
Usalama wa taifa ni zaidi ya demokrasia.
 
Ha ha ha nakuelewa lakini aliyeuliwa alikua hajavaa ijabu! na haikuwa haki kumuua mtu kisa kuvaa kitambaa
 
Nchi ipi hiyo mkuu? Nataka nikazurure huko.
 
Ingefaa tuibinafsishe Zenji kwa China walau kwa mwaka mmoja ili kukomesha ushoga, ila sema zaidi ya 90% watanyongwa chap chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…