Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

HUYU NI ULINZI TOSHA HAUTAOGOPA HOFU USIKU WALA MCHANAView attachment 2958831

Hyo aliyesulubiwa si yesu soma biblia Mathayo 27 :32-37

hakuna mahali imeandikwa kuwa huo msalaba alirudishiwa Bwana Yesu

32Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu.

33Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,

"34wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.

35Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

36Wakaketi, wakawa wanamchunga.

37Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
 
Kunyogwa bei gani bhana, hata Tz wanyongwe watu kama Chawa wa Mama ni muhim sana kunyongwa kwa Misumeno.
 
Khaa kwani hzo nchi ni hatari kuliko Ile nchi iliyomsurubisha yesu???Yesu alkuwa mnyenyekevu na mpole lakin kilichomkuta anakijua mwenyewe.
Sometimes democracy Ina maujinga mengi tuu!
 
Khaa kwani hzo nchi ni hatari kuliko Ile nchi iliyomsurubisha yesu???Yesu alkuwa mnyenyekevu na mpole lakin kilichomkuta anakijua mwenyewe.
Sometimes democracy Ina maujinga mengi tuu!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kila nchi ina sheria zake na ukiona ngumu kwako bora usepe
Ila kama una uvumilivu kila sehemu utaishi
Asante
kama ni mwananchi wq kawaida utaenda wapi??
mfano we ukiona tanzania pa gumu una kwa kwenda??

Labda uwe tajir uombe uraia kwene nchi nyingine
 
Ndo maana zinaendelea kwa kasi,

Ili maendeleo yapatkane lazima kusafisha takataka zote ...nawasilisha
 
kama ni mwananchi wq kawaida utaenda wapi??
mfano we ukiona tanzania pa gumu una kwa kwenda??

Labda uwe tajir uombe uraia kwene nchi nyingine
Mipaka imetengenezwa na binadamu, hivyo haihitaji utajiri kuhama
Niliondoka nikiwa mdogo sana nyumbani na nimeishi nchi nyingi na baadhi kufanyakazi
Huko uarabuni niliondoka pia na kuendelea na safari nisikokujua ila nilitua tena nchi nyingine na kuanza maisha tena

Hakuna ajuaye ya kesho ila maisha yanakuja yenyewe tu
Unapanga yanaweza kuwa au yasiwe ila pambana mpaka pumzi ya mwisho
 
nataman kuja kuishi singapore nipate uraia wa huko au nch za kiislam kam dubai.
 
Kwa nchi kama china na ukubwa wake na idadi ya watu wake, bila sheria kali isingeweza kutawalika.
Mtanyooka tu bila kutumia nguvu kubwa kulalamikiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…