Nchi hii, kiini cha kila tatizo tulilo nalo inaonekana ni katiba mbovu; mlio kwenye system, naomba mtujuze, inabadilishwa lini?

Katiba haina meno itaachaje kupuuzwa?.Katiba ina kingia kifua makosa ya watu itaachaje kupuuzwa.katiba inatoa mamlaka makubwa kwa mtu itaachaje kupuuzwa?.
 
Katiba inabidi ipatikane haraka tuweke wasomi na mtu akitaka kugombea Ubunge awe na degrees kuongozwa na la 7 ndio imefanya elimu yetu inadharauliwa
 
Katiba haina meno itaachaje kupuuzwa?.Katiba ina kingia kifua makosa ya watu itaachaje kupuuzwa.katiba inatoa mamlaka makubwa kwa mtu itaachaje kupuuzwa?.
Ni kweli kabisa, katiba inamuhakikishia mtu usalama wake awapo madarakani na hata akitoka madarakani, haijalishi kafanya nini, kwahiyo hata akipuuza au kuvunja katiba, katiba hiyo hiyo imempa unconditional protection, ataachaje kuipuuza?! Tunataka katiba mpya!
 
Hao watu watalalamikiwa wapi? Ikiwa speaker wa bunge amepewa kinga,hivyo hawezi kushtakiwa,ikiwa mahakama haipo huru..majudge wanateuliwa na Rais..hii nchi basi tu..labda Mungu aingilie kati siku moja.
 
hoja zangu tata kidogo unisamehe..

umesema nchi ina wapuuzi wengi sana, sasa watawala wapumbavu na wananchi wapuuzi wanawezaje kutuzidi akili... au wao ni wengi au sisi ni wapuuzi na wapumbavu zaidi yao?
tatizo ni pale wapumbavu wanapokuwa wengi wanaweza kumchagua raisi wao kipumbavu na wakaelewana ila we usiye mpumbavu usiwaelewe tanzania wapumbavu ndio wengi ilikuwabadili hnahtajika nguvu si ya kibinadamu
 
Sasa mkuu pendekezo lako ni nini???.
Ok tuseme kiongozi ndio mwarubaini.... kiongozi imara tunampataje?? Bila katiba Mpya
Mwarubaini ya matatizo yote haya ni Katiba mpya na ni kikwazo kikubwa kwa CCM,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe, unaijua wajibu wako. Effectively je umefanya nini??? Kuibadilisha jamii iliyo kunzunguka kujua wajibu lao kwa serikali..
Au unapga kelele kwenye shimo lenye jiza tororo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Kenya,South Africa,Ghana nk kuna Katiba mpya,je imekuwa muarobaini wa umaskini?

Kwamba Kenya au Ghana inaizidi Egypt kwa maendeleo maana huko hakuna cha Katiba mpya.Ujinga mzigo.
 
Kenya,South Africa,Ghana nk kuna Katiba mpya,je imekuwa muarobaini wa umaskini?

Kwamba Kenya au Ghana inaizidi Egypt kwa maendeleo maana huko hakuna cha Katiba mpya.Ujinga mzigo.
Suala sio katiba mpya tu, bali katiba mpya yenye maboresho sahihi ili kutibu mianya ya udhaifu iliyopo sasa
 
Naweza kuandika kitabu kizima, nikupe mfano, mtu anapohakikishiwa usalama wa kutowajibishwa akifanyanlolote lile akiwa madarakani au hata akitoka madarakani, nini kitamfanya aogope kulihujuma taifa? Huo ni mfano wa kinachotitaji kirekebishwa.
Mbona hata rasimu ya Warioba imeweka masharti ya kutoshitakiwa viongozi wakuu?
 
Lazima tuidai na kila mtu awajibishwe kwa makosa ake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…