Hali ni mbaya chief,hata mie naiona,
Tabaka tawala,halina majibu kabisa,hivi kweli kilo ya mahindi iuzwe shilingi 500!huyu mkulima atajenga vipi nyumba,atasomeshaje mtoto chuo kikuu,ataweka vipi akiba ya uzeeni?
Miaka 60 ya uhuru nchi haiwezi kuwahakikishia wakulima bei nzuri ya mazao yao!!
Hii ni shida,sasa hv kila kijana anaenda kwenye kilimo,wakati ilibidi wakulima wawe wachache,vijana wengine wawe kwenye viwanda,hii ni balaa,
Serikali inahangaika kuajiri polisi wengi!!Ili waje wakuze uchumi?!!
Haki ya Mungu,natamani kukimbia hii nchi,kwa vijana ambao hamjawa na familia na huko na Elimu nzuri,tafuta passport,ukiona fulsa nje,sepa fasta