Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Unataka wote tulime mkonge alafu tule mawe?Uweke ruzuku ya nini kwenye kitu hakina tija? JK alijaribu huu upuuzi ikawa hasara tupu..
Lazima kulima Mazao ya kimkakati ya biashara sio chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka wote tulime mkonge alafu tule mawe?Uweke ruzuku ya nini kwenye kitu hakina tija? JK alijaribu huu upuuzi ikawa hasara tupu..
Lazima kulima Mazao ya kimkakati ya biashara sio chakula
Hapana, siku hizi maarifa ya jinsi mambo yanaenda yako kila sehemu. Mbinu za uchumi zimekuwa tested na zimeonekana zipi bora zipi hazifai. Hizi zama si za kuendesha mambo kwa kubahatisha.Hata wewe mkuu ungepewa hiyo dhamana mambo yangalikuwa hivyo hivyo tu au mabaya zaidi, shida ni aina ya watu tuliopo zama hizi labda kije kizazi kingine hapo baadaye kitakachofikiri nje ya Box.
Mbona sasa wote mnalima mahindi,kuleni sasa mnalia Lia niniUnataka wote tulime mkonge alafu tule mawe?
Alafu kuna Bashe katulia pale hakuna out put yoyote ,pindi hajapata wizara alikuwa anachalenge kweli lakini now mdebedpNajaribu tu kujiuliza, kuwa wizara ya kilimo kazi yake ni nini? kwanini wizara isiwasaidie wakulima wake kupata masoko? Nchi tunayosema kuwa watu wake wengi ni wakulima inakuwaje tunakuwa watu wanapewa dhamana hiyo na bado wanashindwa kutengeneza mazingira ya masoko?
Itoshe kusema wewe ni kapumbavu!Mbona sasa wote mnalima mahindi,kuleni sasa mnalia Lia nini
Ushajiuliza kila mtu aki abandon mahindi akakomaa na horticulture hali itakuwaje?Achana na mahindi lima horticulture in small scale
Ulizuiwa lini?Watu wapo bize kugawana vyeo,halafu mwisho wa siku wanakuzuia kuuza nje ya nchi kama vile kwenye kulima walikusaidia
Walima mahindi hawakosi,mostly peasant, kijijini kila kaya inalima mahindi,ila huyu mwamba anaonekana ana exposure sema amekosa tu taharifa sahihiUshajiuliza kila mtu aki abandon mahindi akakomaa na horticulture hali itakuwaje?
Ubongo wako upo hai kweli?? leo mafuta yapo juu ni sahihi, kwa hiyo alime leo kesho avune na auze??Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
Ni kama wewe ukiwekwa hapo utaishia kujilamba lips tuu ndio maana unalaumu na suluhisho huna..Alafu kuna Bashe katulia pale hakuna out put yoyote ,pindi hajapata wizara alikuwa anachalenge kweli lakini now mdebedp
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Mahindi sio zao la biashara ni la chakula..Walima mahindi hawakosi,mostly peasant, kijijini kila kaya inalima mahindi,ila huyu mwamba anaonekana ana exposure sema amekosa tu taharifa sahihi
Umesahau?Ulizuiwa lini?
Zao kuwa la chakula haimaanishi haliwezi kukutajirisha.haya mahindi miaka ya nyuma yaliwatoa watu,mpunga umetajirisha watu,viazi mviringo,nyanya ni hela tu hizoMahindi sio zao la biashara ni la chakula..
Chakula lazima ulime na zao la biashara lazima ulime
Aliwakomesha yule mzalendo wenuUmesahau?
Au kwa vile kwasasa mahindi yamejaa shambani hayana soko?
Yaliwatoa wakati nchi zingine zilikuwa hazizalishi sasa Hali imebadilika unakomaa tuu unategemea nini?Zao kuwa la chakula haimaanishi haliwezi kukutajirisha.haya mahindi miaka ya nyuma yaliwatoa watu,mpunga umetajirisha watu,viazi mviringo,nyanya ni hela tu hizo
Njoo nikuthibitishie mm kwamba upigaji upo Kama mtoa mada amekupuuza.Thibitisha upigaji unaosema umerudi kwa kasi,sema hivi una stress za kilimo chako kutofikia malengo..
Toa ushauri sio kulalamika tuu..
Ugali ni niniYaliwatoa wakati nchi zingine zilikuwa hazizalishi sasa Hali imebadilika unakomaa tuu unategemea nini?
Zimbabwe ilikuwa inaongoza kuzalisha mahindi Sadc yote but kwa ajili ya chakula cha mifugo sio chakula cha watu,ugali sio chakula
Kwanini hao wanaojinasibu wazee wa kufoka na kalamu wasinunue mahindi yote kwa bei nzuri kuwatia moyo na kuwaokoa wananchi wake kwa hili dhahama la kushuka kwa bei ya mahindi?Aliwakomesha yule mzalendo wenu