Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Nchi imekuwa ngumu kuliko hata awamu ya 5 , tofauti kidogo ni yale mambo ya kutekana tu , lakini kwenye hela na uchumi nchi kwisha kabisa !
 
Aziuze milioni 6 inatosha kulima ekari moja na nusu ya nyanya ruaha mbuyuni ,anaweza pata hata milioni 30 ambayo ni pesa ya maana
Mkuu hizo hesabu za eka moja ya matikiti inakupa million 30 nilishaachana nazo muda sana. Niliamua kulima zao lenye risk ndogo ya kupoteza kabisa baada ya kuandaa Shamba langu kwa muda mrefu....kwenye karatasi inawezekana njoo Shamba sasa ujionee. It takes everything to get at least something..
 
Mkuu hizo hesabu za eka moja ya matikiti inakupa million 30 nilishaachana nazo muda sana. Niliamua kulima zao lenye risk ndogo ya kupoteza kabisa baada ya kuandaa Shamba langu kwa muda mrefu....kwenye karatasi inawezekana njoo Shamba sasa ujionee. It takes everything to get at least something..
Mi pia ni mkulima mkuu nina uzoefu miaka minne naelewa ,horticulture ni gharama ila unalima eneo dogo unaloweza kumaintain,achana na mahindi,
 
Wewe ndio hujielewi kabisa yaani na sio kosa lako ngoja nikutoe tongotongo
Sokoni dar kg moja ya mahindi inanunuliwa kwa wastani wa tsh 400 Hadi 460 Sasa twende kimahesabau
Gunia moja Lina wastani was kg 110 sawa? Sasa chukua 110 × 460 = 56000/=
Hapo toa matumizi yafuatayo

Usafiri kutoka namtumbo, mpwapwa mbeya n.k mfano gunia moja kulisafirisha iwe Tsh 10000 kwa gunia
Pakia shusha iwe 2000
Ushuru 1500 kwa gunia
Kiroba 1000 jumla ndogo 14500/=

Kwa hiyo 56000- 14500 = 41500
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png


Kwa hiyo gunia utakua umeliuza tsh 41500
emoji848.png
emoji848.png
ambayo ni sawa na wastan wa 6500 -7000 kwa debe moja

Heka moja tuseme umevuna gunia 10
emoji23.png
emoji23.png


Kwa hiyo 10 × 41500= 415000 sio??
Je hiyo heka moja mpaka unavuna hayo mahindi unafikiria hiyo 425K inatosh

Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Mahindi sio chakula cha binadamu pekee ila kwa Tanzania zaidi ya 90% ya mahindi tunategemea yaliwe na watu!!
Mahindi ni chakula kizuri cha mifugo kama kuku, ngiuruwe, ng'ombe hivyo kama tunataka kulima kilimo cha mahindi cha biashara tuanzishe miradi mikubwa ya ufugaji hatutapata shida ya soko la mahindi.

Zaidi ya 70% ya watanzania ni wakulima (peasant) kila familia inlima mahindi yake, unalima mengi kumuuzia nani? Hata ukisema upeleke Kenya, Uganda, Rwanda n.k nao wana peasant kibao. Kilimo bado ni kazi ngumu nchini kama wananchi wataendelea kukaa vijijini bila tija kiuchumi (urbanisation is the way)
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Hali ni mbaya chief,hata mie naiona,
Tabaka tawala,halina majibu kabisa,hivi kweli kilo ya mahindi iuzwe shilingi 500!huyu mkulima atajenga vipi nyumba,atasomeshaje mtoto chuo kikuu,ataweka vipi akiba ya uzeeni?
Miaka 60 ya uhuru nchi haiwezi kuwahakikishia wakulima bei nzuri ya mazao yao!!
Hii ni shida,sasa hv kila kijana anaenda kwenye kilimo,wakati ilibidi wakulima wawe wachache,vijana wengine wawe kwenye viwanda,hii ni balaa,
Serikali inahangaika kuajiri polisi wengi!!Ili waje wakuze uchumi?!!
Haki ya Mungu,natamani kukimbia hii nchi,kwa vijana ambao hamjawa na familia na huko na Elimu nzuri,tafuta passport,ukiona fulsa nje,sepa fasta
 
Mahindi sio chakula cha binadamu pekee ila kwa Tanzania zaidi ya 90% ya mahindi tunategemea yaliwe na watu!!
Mahindi ni chakula kizuri cha mifugo kama kuku, ngiuruwe, ng'ombe hivyo kama tunataka kulima kilimo cha mahindi cha biashara tuanzishe miradi mikubwa ya ufugaji hatutapata shida ya soko la mahindi.

Zaidi ya 70% ya watanzania ni wakulima (peasant) kila familia inlima mahindi yake, unalima mengi kumuuzia nani? Hata ukisema upeleke Kenya, Uganda, Rwanda n.k nao wana peasant kibao. Kilimo bado ni kazi ngumu nchini kama wananchi wataendelea kukaa vijijini bila tija kiuchumi (urbanisation is the way)
Uko sahihi,huwezi kutoboa kimaisha kwa kulima mahindi
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Shida yote hii ni kwa sababu ya mifumo mibovu ya nchi hii chini ya utawala kandamizi wa ccm.
 
Tukiendelea na hiki kilimo cha kufunga mipaka ipo siku nchi itaingia kwenye njaa kubwa sana. Maana mwakani mtu kama wewe hutalima, wezee tu ndiyo watabaki kulima.

Inabidi upelekwe mswada Bungeni ambao itakuwa ni marufuku serikali kumzuia mkulima kuuza mazao yake atakako. Ukienda South Sudan, Congo au Kenya huwezi kuta gunia 30 elfu.

Kiufupi nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea, hakuna cha ubunifu wala mipango yenye akili.
Shida serikali imejiingiza kwenye biashara hawawezi ruhusu..huoni wamefungua maghala south sudani na wanafugua kongo na komoro.

Mahindi yakiuzwa nje watapata wapi mahindi ya bure bure ili wakatengeneze faida huko nje ya nchi.
#MaendeleoHayanaChama
 
Uzi unafikirisha sana, yaan heka 20 mtu anapata gunia 200 basi ujue hapo gharama alizotumia ni kubwa mno,
Hilo la nursing pia upo sahihi, tuzidi kumuomba Mola muumba mbingu na ardhi

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kilimo cha mvua ni upumbavu sana ndiyo maana wmnawaeshimu wakulima wa tz kuliko maprofesa maana wanafanya kazi ngumu sana hadi kuifanya tz kuwa na chakula cha kutosha hadi kuuzia nchi nyingine ,hapo kwa heka 20 kwa kilimo cha kumwagilia alitakiwa kupata magunia 1000 hadi 1200
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Hatarii
 
Kilimo cha mvua ni upumbavu sana ndiyo maana wmnawaeshimu wakulima wa tz kuliko maprofesa maana wanafanya kazi ngumu sana hadi kuifanya tz kuwa na chakula cha kutosha hadi kuuzia nchi nyingine ,hapo kwa heka 20 kwa kilimo cha kumwagilia alitakiwa kupata magunia 1000 hadi 1200
K wenye karatasi ni sawa!
 
Back
Top Bottom