Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

M
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Mkuu umeleta mada nzuri sana

I hope tutaitendea haki
 
Kuna document inaitwa " Silent weapons in a Quiety Wars" yaani tunapigana vita na adui asiyeonekana, humuoni adui yako, lakini tunahisi kabisa kwamba "tunaishi pamoja na tembo chumbani" sasa chumba kimekuwa hakitoshi tunabanana.
Haya mambo yote hayapo kwa bahati mbaya, yamekuwa engineered purposely..mbinu inayotumika ni ya kisoshalist! Mbinu ambayo imebuniwa na taasisi inayoitwa " The Fabians society" hawa ndo waliobuni siasa za Ujamaa na Ukomunisti..anagalia logo yao ukigoogle, kwamba wana i mould dunia wanavyotaka.
Hawa " the Fabians" wenye makao makuu yake Uingereza wamechukua jina la Generali wa kirumi miaka hiyo ambaye aligundua mbinu za kumshinda adui taratiibu bila vita kwa kubadili "policy" yaani kidogo kidogo hadi adui anapokuja kushituka 'it is too late'
Hii ni kazi ya Illuminatti, binadamu tunaitwa tuamke tujikomboe utumwani dhidi ya hawa mashetani wa Ki Illuminatti lakini people wapo tayari kupigana ili kuutetea mfumo kandamizi.
That is why Bob Marley aliimba kuwa Babylon system is a vampire.......
kuna watu vichwani mmebeba kamasi badala ya akili
 
Mkuu ngosha/Mangi/Manka sababu ziko wazi,

1.Soko la mazao lilishuka kipindi Cha Mwendazake. Mnunuzi mkubwa wa mahindi ni Kenya mahisi unafahamu uhusiano wa Kenya na tz ulivyokuwa. Kenya akaopt kwenda Mexico.

2. Wanaomaliza kidato Cha nne wengi wanakosa nafasi za kidato tano. Ndalichako na Mwendazake wakaona alternative ni kuwapeleka vyuo kusomea certificates. Huko wengi wanaangalia kozi zenye fursa za ajira. Nazo Ni za afya.
 
Tukiendelea na hiki kilimo cha kufunga mipaka ipo siku nchi itaingia kwenye njaa kubwa sana. Maana mwakani mtu kama wewe hutalima, wezee tu ndiyo watabaki kulima.

Inabidi upelekwe mswada Bungeni ambao itakuwa ni marufuku serikali kumzuia mkulima kuuza mazao yake atakako. Ukienda South Sudan, Congo au Kenya huwezi kuta gunia 30 elfu.

Kiufupi nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea, hakuna cha ubunifu wala mipango yenye akili.
mbona tayari- vijana wanaolima wanalima visivyolika
 
Tunachoweza kufanya ni kwa wenye capital kulima mazao ambayo sio kila kaya inaweza kulima. Tulime soya, mbaazi, maharage na ngwara. Na hapo nayo kuna ambazo zitafikia over supply kwenye soko, then tunalima alizeti na mahindi. Let be elastic kwa wenye uwezo.
At least nakuelewa lkn hadi umelimudu vzr zao na kuanza kupata faida umeshakosea Mara kadhaa...
 
Uko hapo kwa shemeji yako unaelewa nini wewe?

Jana nilikuwa nataka nikachukue pumba mashinane kwa ajili ya kuku zangu.

Nsagaji akaniambia pumba hadi baada ya siku 3, kuuliza sababu, akanionesha rundo la viroba vya unga kwamba hadi viishe hivyo hapo na kwa maneno yake anasema watu hawali sana ugali maana mchele nao bei iko chini sana.
Watanzania sijui wanataka nini
Chakula kikipanda bei lawama,kikishuka bei lawama

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Uzi unafikirisha sana, yaan heka 20 mtu anapata gunia 200 basi ujue hapo gharama alizotumia ni kubwa mno,
Hilo la nursing pia upo sahihi, tuzidi kumuomba Mola muumba mbingu na ardhi

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Mkuu kumuomba mola afanye nini?? Yaani Mungu arekebishe hali au asaidie nini ikiwa sisi wenyewe (watu) hatufanyi juhudi za makusudi kurekebisha hali iliyopo??

Mungu hawezi kusaidia kwa lolote ikiwa hakuna juhudi binafsi.

Mkuu, hakuna kitu ambacho kipo real na hakidanganyi kama
"LAW OF CAUSE AND EFFECT"

Achana na ule upuuzi wa sijui tumuombe mungu afanye nini sijui...

JUST STICK TO THIS LAW OF CAUSE AND EFFECT AND GOD WILL OBEY REGARDLESS UNAMUOMBA AU LA!!!
 
Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
Kulima Alizeti sawa, iko kwenye peak. Hivi umeisikia bei ya mbolea na pembejeo zingine ni hatari. Ukivuna huenda u break even au upate hasara Mkuu.
 
ndiyo maana vijana wanakimbia vijijini kilimo hakiwalipi wanakuja mjini kuwa wamachinga.

Imefika hatua mjini machinga ni wengi kuliko watembea kwa miguu kwasababu tuna sera mbovu ambazo hazimlindi mkulima.
Serikali ya awamu ya 5 ilikuwa inaona sifa eti hakuna inflation kwenye vyakula, pasipo kujua deflation pia ni kitu kibaya.

Ikifika kipindi kila mtu hataki kilimo ndio tutakuja kuona utamu wake.
 
Uko hapo kwa shemeji yako unaelewa nini wewe?

Jana nilikuwa nataka nikachukue pumba mashinane kwa ajili ya kuku zangu.

Nsagaji akaniambia pumba hadi baada ya siku 3, kuuliza sababu, akanionesha rundo la viroba vya unga kwamba hadi viishe hivyo hapo na kwa maneno yake anasema watu hawali sana ugali maana mchele nao bei iko chini sana.
Kanunue mahindi uwape kuku. Yapo chini.
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Tunakoelekea,kuna uwezekano wa namba ya waandamanaji kuishinda namba ya watakaokuwa tayari kuwavunja miguu
very sad.
 
Kwanini Bakhresa anaweza kununua mahindi na kufunga unga wa Azam wengine washindwe?

Mikoa inayozalisha mahindi ingejengwa viwanda vya kutwanga na kusaga mahindi. Ifungwe mifuko ya unga wa dona, sembe na mahindi yaliyokobolewa kwa walaji wa kande na kitheri.

Hii itazalisha ajira na wakulima watapata soko la mazao yao.
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
we ongea kiingeereza chako tuu! huwezi jua anayetaka kukusaidia pengine anajua kiswahili tuu..😌🥴
 
Kwanini Bakhresa anaweza kununua mahindi na kufunga unga wa Azam wengine washindwe?

Mikoa inayozalisha mahindi ingejengwa viwanda vya kutwanga na kusaga mahindi. Ifungwe mifuko ya unga wa dona, sembe na mahindi yaliyokobolewa kwa walaji wa kande na kitheri.

Hii itazalisha ajira na wakulima watapata soko la mazao yao.
story of changes.
 
Back
Top Bottom