Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Sisi tupo hapa anaweza kuja Mchina akafungua kiwanda Rukwa na kuajiri vijana wetu kwa ujira kiduchu. Baada ya miaka mitatu amekua billionaire.story of changes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tupo hapa anaweza kuja Mchina akafungua kiwanda Rukwa na kuajiri vijana wetu kwa ujira kiduchu. Baada ya miaka mitatu amekua billionaire.story of changes.
kweli kabisa wangu! ila akifungua mswahili utashangaa navyoandamwa na viwanda kongwe.Sisi tupo hapa anaweza kuja Mchina akafungua kiwanda Rukwa na kuajiri vijana wetu kwa ujira kiduchu. Baada ya miaka mitatu amekua billionaire.
Wakati nasoma uzi wako, akilini mwangu nilikuwa nafikiria swali lako uliouliza.Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.
1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????
2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.
3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.
4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.
5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....
6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.
Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Best post ever wewe ndio umejua chanzo cha haya yoteMaguful ndiye aliyesababisha Hayo. Tumwombee Mama, tusurudi Kule.
mpe trophy basi jamn,, 😌Best post ever wewe ndio umejua chanzo cha haya yote
engeuza mabichi shambani yengemlipa 🙄 🙄😂😷Aisee gunia zote hizo lazima umetumia gharama kubwa,
Kwa hio hizo gunia 200 aachane nazo?Achana na mahindi lima horticulture in small scale
Aziuze milioni 6 inatosha kulima ekari moja na nusu ya nyanya ruaha mbuyuni ,anaweza pata hata milioni 30 ambayo ni pesa ya maanaKwa hio hizo gunia 200 aachane nazo?
Ni kweli ila elimu yakulima nyanya anayo au ndo mambo ya theory matokeo zero!Aziuze milioni 6 inatosha kulima ekari moja na nusu ya nyanya ruaha mbuyuni ,anaweza pata hata milioni 30 ambayo ni pesa ya maana
Kama aliweza mahindi inaonekana anapenda kilimo atafute zao atakalomudu,mambo ya mahindi awaachie wazeeNi kweli ila elimu yakulima nyanya anayo au ndo mambo ya theory matokeo zero!
Kilimo cha kujikimuAchana na mahindi lima horticulture in small scale
ndugu hebu nitajie nchi ambayo imeweza kutatua hayo uliyosema na wako paradiso ndogo nchi ganiLuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.
1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????
2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.
3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.
4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.
5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....
6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.
Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Kutoboa kupitia mahindi ni bahati sanaKilimo cha kujikimu
Wewe ndio hujielewi kabisa yaani na sio kosa lako ngoja nikutoe tongotongoWe hujielewi huku dar wanauziwa unga sembe bei huu. Safirishwa mahindi Dar uuze bei nzuri acha ujinga
I can feel your pain and agonyNo body cares.....yaani ukimuuliza mtu anaejua kilimo. Kulima ekari 20 is not a joke.......gharama tu zilizotumika hadi unapata mazao nimechoka guys,...
Piga hesabu ya bulk transport. Sasa gunia 10 unapeleka wapi? Wanachofanya watu ni wanajikusanya wanasafirisha in bulk kwa kulipia usafiri mmoja uliojaa mahindi tu.Wewe ndio hujielewi kabisa yaani na sio kosa lako ngoja nikutoe tongotongo
Sokoni dar kg moja ya mahindi inanunuliwa kwa wastani wa tsh 400 Hadi 460 Sasa twende kimahesabau
Gunia moja Lina wastani was kg 110 sawa? Sasa chukua 110 × 460 = 56000/=
Hapo toa matumizi yafuatayo
Usafiri kutoka namtumbo, mpwapwa mbeya n.k mfano gunia moja kulisafirisha iwe Tsh 10000 kwa gunia
Pakia shusha iwe 2000
Ushuru 1500 kwa gunia
Kiroba 1000 jumla ndogo 14500/=
Kwa hiyo 56000- 14500 = 41500[emoji848][emoji848][emoji848]
Kwa hiyo gunia utakua umeliuza tsh 41500 [emoji848][emoji848] ambayo ni sawa na wastan wa 6500 -7000 kwa debe moja
Heka moja tuseme umevuna gunia 10[emoji23][emoji23]
Kwa hiyo 10 × 41500= 415000 sio??
Je hiyo heka moja mpaka unavuna hayo mahindi unafikiria hiyo 425K inatosha???
Tabia za nchi maskini sana duniani kama Tanzania ni kufikiri kuwa chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni wananchi. Ila ikumbukwe kuwa asilimia kubwa ya watanzania ni maskini, hivyo kufanya hivyo ni kuendeleza umaskini. Nchi maskini hutegemea zaidi mapato kutoka kweye sekta ya huduma (service) wakati serikali za nchi tajiri wanapata hadi 90% ya mapato yake kutoka sekta ya viwanda na si huduma.Imposing withholding tax kwa mazao kisa kuuza kwa wenye makampuni sijui waliwaza nini, kila nikifikiria hili moyo unaniuma sana, katika mazingira ya pembenei kupandwa na bei za mazao kudorola Leo umwambie mtu akatwe withholding tax si mtaumizana tu, jambo hili linaweza kuchochea bushara zisizo halali za kupeleka nje ya nchi kinyemela
Tax law experts na economist wetu mlifikiriaje kwa jambo hili, Mzee mwigulu liangalie mara 22, uzuri upo humu kiongozi kiukweli maendeleo tunahitaji lakini hawa wazee wetu vijijini tuwahurumie