Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
Wakati nasoma uzi wako, akilini mwangu nilikuwa nafikiria swali lako uliouliza.
"watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani? "
Kama na wewe umeliona hili, sina shaka kabisa kwamba tunapoelekea sio pazuri kabisa.
 
Huu uzi umenigusa mkuu kasanga70 kwanza hongera umelima eka 20 umepata maguni 200 kuonyesha ulivyozingatia hatua zote za kilimo bora. Mwenzako nimelima mara ya kwako nimeambulia 180. Kanitangaze alifanya yake...mvua ikanikimbia na sasa bei imetutoroka...Serikali imesema itanunua bado sijajua bei yao. Mkuu ukisikia bei popote unishtue
 
umeniliza upya nimemkumbuka JPM alivyokuwa anapambana kuifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa.

uongozi sio kitu rahisi.

tusiache kuliombea Taifa letu.
 
Luna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweeeli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa
My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa. Its soo frustrating.
ndugu hebu nitajie nchi ambayo imeweza kutatua hayo uliyosema na wako paradiso ndogo nchi gani
 
We hujielewi huku dar wanauziwa unga sembe bei huu. Safirishwa mahindi Dar uuze bei nzuri acha ujinga
Wewe ndio hujielewi kabisa yaani na sio kosa lako ngoja nikutoe tongotongo
Sokoni dar kg moja ya mahindi inanunuliwa kwa wastani wa tsh 400 Hadi 460 Sasa twende kimahesabau
Gunia moja Lina wastani was kg 110 sawa? Sasa chukua 110 × 460 = 56000/=
Hapo toa matumizi yafuatayo

Usafiri kutoka namtumbo, mpwapwa mbeya n.k mfano gunia moja kulisafirisha iwe Tsh 10000 kwa gunia
Pakia shusha iwe 2000
Ushuru 1500 kwa gunia
Kiroba 1000 jumla ndogo 14500/=

Kwa hiyo 56000- 14500 = 41500[emoji848][emoji848][emoji848]

Kwa hiyo gunia utakua umeliuza tsh 41500 [emoji848][emoji848] ambayo ni sawa na wastan wa 6500 -7000 kwa debe moja

Heka moja tuseme umevuna gunia 10[emoji23][emoji23]

Kwa hiyo 10 × 41500= 415000 sio??
Je hiyo heka moja mpaka unavuna hayo mahindi unafikiria hiyo 425K inatosha???
 
Wewe ndio hujielewi kabisa yaani na sio kosa lako ngoja nikutoe tongotongo
Sokoni dar kg moja ya mahindi inanunuliwa kwa wastani wa tsh 400 Hadi 460 Sasa twende kimahesabau
Gunia moja Lina wastani was kg 110 sawa? Sasa chukua 110 × 460 = 56000/=
Hapo toa matumizi yafuatayo

Usafiri kutoka namtumbo, mpwapwa mbeya n.k mfano gunia moja kulisafirisha iwe Tsh 10000 kwa gunia
Pakia shusha iwe 2000
Ushuru 1500 kwa gunia
Kiroba 1000 jumla ndogo 14500/=

Kwa hiyo 56000- 14500 = 41500[emoji848][emoji848][emoji848]

Kwa hiyo gunia utakua umeliuza tsh 41500 [emoji848][emoji848] ambayo ni sawa na wastan wa 6500 -7000 kwa debe moja

Heka moja tuseme umevuna gunia 10[emoji23][emoji23]

Kwa hiyo 10 × 41500= 415000 sio??
Je hiyo heka moja mpaka unavuna hayo mahindi unafikiria hiyo 425K inatosha???
Piga hesabu ya bulk transport. Sasa gunia 10 unapeleka wapi? Wanachofanya watu ni wanajikusanya wanasafirisha in bulk kwa kulipia usafiri mmoja uliojaa mahindi tu.
 
Imposing withholding tax kwa mazao kisa kuuza kwa wenye makampuni sijui waliwaza nini, kila nikifikiria hili moyo unaniuma sana, katika mazingira ya pembenei kupandwa na bei za mazao kudorola Leo umwambie mtu akatwe withholding tax si mtaumizana tu, jambo hili linaweza kuchochea bushara zisizo halali za kupeleka nje ya nchi kinyemela

Tax law experts na economist wetu mlifikiriaje kwa jambo hili, Mzee mwigulu liangalie mara 22, uzuri upo humu kiongozi kiukweli maendeleo tunahitaji lakini hawa wazee wetu vijijini tuwahurumie
Tabia za nchi maskini sana duniani kama Tanzania ni kufikiri kuwa chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni wananchi. Ila ikumbukwe kuwa asilimia kubwa ya watanzania ni maskini, hivyo kufanya hivyo ni kuendeleza umaskini. Nchi maskini hutegemea zaidi mapato kutoka kweye sekta ya huduma (service) wakati serikali za nchi tajiri wanapata hadi 90% ya mapato yake kutoka sekta ya viwanda na si huduma.
Tunahitaji akili kubwa kubadili mwelekeo la sivyo tutabaki na serikali maskini, nchi maskini na wananchi maskini. Mwisho wa siku tutagemea misaada, mikopo hadi kuuza nchi. TAFAKARI
 
Back
Top Bottom