Umesusa liccm lako?Usitusumbue mkuu, tupo busy kupondea Utawala wa Awamu ya Tano.
Kwakweli hii haijakaa sawa.Mama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni mwanajeshi...
Unanijua mimi nani.?Magufuri ndo alileta vyote hivyo
Hadi Tarura wameanzisha kikosi cha jeshiMama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni mwanajeshi...
Might makes rightMama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni mwanajeshi...
Kwanza chanzo nini tuanziye hapo wakuuMama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni mwanajeshi ?
Na taasisi kama hii ya Maegesho how come service fee 500 halafu faini 10,000 ? Sasa mambo yanavyokwenda ndio kulee enzi zile "Unajua mimi ni nani ?" Nakwambia this time tutatoana utumbo barabarani!!