Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

-Wewe hujaelewa wapi nimetaja ICC? MIMI nazungumzia taasisi kama EU,WB,USA hao ndiyo wafadhili wetu wakuu watunyime misaada kwa sababu ya kukiuka misingi ya democracy
-ICC wanashitaki wale ambao mfumo wa local courts umeshindwa hence hakuna haja ya exhaustion of local remedy.
 
Sanduku la kura linabebwa mtu anapanda nalo boda boda anatokomea nalo chombo cha habari kinaripoti eti
kituko chatoa mtu akimbia na sanduku la kura!!! Yaani sanduku la kura linaibiwa mchana kweupe then wanasema ni kituko? Badala ya kukemea?
CHADEMA Ni hodari sana kwa kuandika na kucheza movi za kihindi. Poleni sana ila Watanzania wanazijua sana hizo muvi za kihindi
 
Ndoto za mchana, kafanye kazi achana na hizo ndoto
 
Hatuwezi kuchagua MBUNGE Mpuuzi na MPUMBAVU kisa tu... Eti ni FAIRNESS..

mbn hamuulizi kuhusu KUPITA bila KUPINGWA ktk MAJIMBO zaidi ya 20+???
 
Huku kwetu Kawe hakuna huzuni, ni full shangwe. Watu tulishajichokea makelele, na kuogelea kwenye maji machafu mitaani kila mvua ikinyesha. Tunataka barabara za lami mitaani na kukomeshwa kwa mafuriko. Na mbunge anayeonekana live jimboni, sio kupitia luninga akiwa kwenye migomo au mahakamani.
 
CHADEMA Ni hodari sana kwa kuandika na kucheza movi za kihindi. Poleni sana ila Watanzania wanazijua sana hizo muvi za kihindi
kama ni movie ilikuwaje wasikamatwe?
kama tu wengine wanaopita karibu na kituo wanakamatwa bila sababu za msingi imekuwaje mpaka OCD anakimbia na sanduku? na yenyewe ni movie sio?
 
Fafanua kidogo, kura tupige wenyewe ,matokeo yatoke kama tulivyoamua, huzuni inatoka wapi?! Acha wavune walichopanda, waliamua kuwa viwanda vya matusi, malalamiko, kupinga kila kitu,kukosa sera na mikakati mbadala.
 
Pwani ina nini cha maana au ina kipi cha kuizidi Iringa tu achilia mbali Arusha?

Hiyo DSM majimbo yenye maendeleo makubwa ni yapi?
Hiyo Mwanza ya 2014 na ya sasa kumeongezeka nini zaidi ya daraja la furahisha?
Dsm - Pwani - Moro - Dom - Mpaka Mwanza Kuna mradi wa sgr, Mwanza Kuna mradi wa daraja la kigogo - busisi, mladi was maji ya ziwa Victoria (ndugu zangu tuliomaliza sengerema miaka ya 2012) shida ya maji ilivyokuwa na mingine mingi
 
Hyo sio sababu ya kuhalalisha wizi wa kura.
Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
 
Nape acha Unafiq Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…