The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
🤣🤣🤣🤣 nimesoma tu heading ya thread nimecheka sana kabla hata sijaingia ndani kusoma uzi wenyewe 😂😂😂. By the way kuna wana wengi sana humu walikuwa wanatukana wana ccm na kusema mwisho wao ni tar 28 mwez wa 10...labda mapema bado asubuhi nadhani wameanza kuziona Dalili za kinachoenda kumpata Lissu...
Ukitaka kujua kuwa watu walikuwa wanamwelea magufuli wewe piga hesabu ni madiwani wangapi, na wabunge wangapi ambao walikuwa madarakani wakajiuzulu na kuhamia ccm wakisema wanaenda kumuunga Mkono Rais katika juhudi za kuleta maendeleo.
Hao walishasoma nyakati mapema mno 😂😂😂
Na kama wabunge asilimia 90 watakaoenda bungeni watakuwa ccm basi jua kabisa kuna uwezekano wa Bunge kupiga kura ya kubadili katiba na kura ikapita na Magufuli akaendelea kugombea urais then maisha yaendelee
Ukitaka kujua kuwa watu walikuwa wanamwelea magufuli wewe piga hesabu ni madiwani wangapi, na wabunge wangapi ambao walikuwa madarakani wakajiuzulu na kuhamia ccm wakisema wanaenda kumuunga Mkono Rais katika juhudi za kuleta maendeleo.
Hao walishasoma nyakati mapema mno 😂😂😂
Na kama wabunge asilimia 90 watakaoenda bungeni watakuwa ccm basi jua kabisa kuna uwezekano wa Bunge kupiga kura ya kubadili katiba na kura ikapita na Magufuli akaendelea kugombea urais then maisha yaendelee