Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

Mwanzo umeanza vizuuuri ila mwisho umeharibu kudai eti nyerere alituachia demokrasia ipi?? Yaani huu ujinga
This is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.

Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.

Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.

Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
 
This is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.

Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.

Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.

Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
😁😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂 chademaaaaaaa daah mkomeee
 
Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Wapinzani Kuna sehemu huwa wanakosea,huwa wanafeli kimbinu Kuna wakati huwa inabidi wabaki ndani.Lakini kitendo Cha Bunge kuwa la Chama kimoja tu,matokeo yake tutayaona Wala sio mbali kesho tu,tutaona Radha ya Bunge la Chama kimoja.Kuna members humu wapo CCM lakini baada ya muda IDs zao zitapotea.Namkumbuka Kimambi na Chahali 2015
 
Huu uchaguzi si wa kusifiwa hata kidogo,ulijaa vitimbi na visa vingi kuhakikisha chama tawala kinaendelea kubaki madarakani bila kupendwa na wanachi walio wengi,uchaguzi ulitawaliwa na mbinu mikakati tata kuhakikisha upinzani mkali unakufa kihalali kwenye sanduku la kura, hilo bunge lijalo litakuwa pole sana maana wengi watakuwa wa chama kimoja
 
Nimekufuatilia kwa muda mrefu kupitia jukwaa la Kimataifa ukiwa ni hodari wa kuchambua mambo kiuweledi lakini ninasikitika kila mahali inapoguswa CCM hata kama inafanya uharamu unatetea, ajabu mpaka kwenye mambo ambayo yapo wazi ambayo ni haramu CCM wanafanya unatetea.

Nilichogundua kuwa hauna haya! And if you dont have this quality of bashfulness, then you can do whatever you wish! Because there's nothing can stop you from doing a shameless thing.

Na hauna hata chembe ya kumuogopa Mungu! Sina chama ila ninachokijua ni haki na batili.
Huyo Ni kiazi tu anajua siasa za marekani za nchi yake anajitia upofu
 
Wapinzani ni mwanakulitafuta mwanakulipata
nasikia wafu walipiga sana kura
 
Back
Top Bottom