Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Haina shida hata asipokufa poa tu.Wanaomsifu Leo kesho wasianze kupiga kelele Kama Evaristo Chahali,Mange Kimambi 2015Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida hata asipokufa poa tu.Wanaomsifu Leo kesho wasianze kupiga kelele Kama Evaristo Chahali,Mange Kimambi 2015Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Sasa hivi watapasuana wenyeweSasa watawarudishia na Bunge live
Ziro brain wa jfHahaha Hadi Raha
kutwa Kupinga kupinga Dawa yao ndiyo Hiyo
Uchaguzi umepita inabidi tujadili uhalisia.Ni jambo jema.
Maigizo yataisha bungeni.
This is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.
Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.
Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.
Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
Mungu ana makusudi yake.Naona waisraeli tunapelekwa jangwani miaka 40Maskini tanzania yangu.... [emoji24]
Dada yangu, utapata aibu ya mwaka. Nakuhakikishia Magufuli hagombei 2025.Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
😁😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂 chademaaaaaaa daah mkomeeeThis is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.
Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.
Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.
Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
Wapinzani Kuna sehemu huwa wanakosea,huwa wanafeli kimbinu Kuna wakati huwa inabidi wabaki ndani.Lakini kitendo Cha Bunge kuwa la Chama kimoja tu,matokeo yake tutayaona Wala sio mbali kesho tu,tutaona Radha ya Bunge la Chama kimoja.Kuna members humu wapo CCM lakini baada ya muda IDs zao zitapotea.Namkumbuka Kimambi na Chahali 2015Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Huyo Ni kiazi tu anajua siasa za marekani za nchi yake anajitia upofuNimekufuatilia kwa muda mrefu kupitia jukwaa la Kimataifa ukiwa ni hodari wa kuchambua mambo kiuweledi lakini ninasikitika kila mahali inapoguswa CCM hata kama inafanya uharamu unatetea, ajabu mpaka kwenye mambo ambayo yapo wazi ambayo ni haramu CCM wanafanya unatetea.
Nilichogundua kuwa hauna haya! And if you dont have this quality of bashfulness, then you can do whatever you wish! Because there's nothing can stop you from doing a shameless thing.
Na hauna hata chembe ya kumuogopa Mungu! Sina chama ila ninachokijua ni haki na batili.
Kama baraza la wawakilishi lilivyokuwaLitakuwa zuri sana!
Ngoma ikivuma sana huishia pabaya tuombe uhaiYaani hata museven hana ubabe huu
Hao CCM Ambao hawatoki walishakutetea??Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni