Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani wananch ni wajinga kama, yani miaka yote 60 mko nyie tu leo mlaumu upinzan? majimbo ambayo mko CCM pekee mmefanya nini??Msisingizie wïzi, maneno ya jpm na majaliwa ktk kampeni kuwa raia wanajichelewesha wenyewe na wao jpm na majaliwa wanataka connection ndio maneno chachu kwa wananchi. Wànanchi wamechagua maendeleo.
Mengine ni visingizio, ktk mkutano wa mbowe hai wananchi wa haî wanampiga maswali mazito mbowe anasingizia wametumwa, hii ngoma wapizaní wamelala. Watumie muda huu kujipanga.
Kwa bungeni ni upinzaní gani tutaumiss zaidi ya kugomea bajeti?
Màjimboni ni nini tutamiss wàkati hawajawã na mchango?
Tusikariri kuwa piga ua lazima wawepo wapinzani mia bungeni, zîto amekua na hoja zaidi ya wabunge wote wa upinzani.
Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Mkuu Pagan Amum, ukweli lazima tuukubali na kuuheshimu kwama viongozi wa vyama vya upinzani, hasa wawakilishi wetu, hawakutenda kama tulivyowatarajia, katika kipindi cha utawala wa Serikali ya CCM.
√ Walipinga juhudi za maendeleo wakidai ni maendeleo ya vitu;
√ Mbaya zaidi walitumia lugha ya matusi, tuhuma za uzushi na kuhamasisha vurugu wakati wa kampeni; na
√ Isitoshe vyama vya upinzani, hasa CHADEMA, chama kikuu, na ACT-Wazalendo, viliwekeza nguvu zao zote kwenye wagombea Urais, ambao walishindwa kuwashawishi wapiga kura kwa hoja za kisera.
Kama ulivyosema afya ya kisiasa siyo nzuri sana uwakilishi kuwa wa chama kimoja cha siasa. Lakini kumbuka, CCM ina jinsi nzuri ya uendeshaji kudhibiti na kusimamia utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi kuliko vyama vingine vya siasa, ambavyo viongozi wake wamekuwa wakishutumiana kwa matumizi ya ruzuku na mali za chama
Humjui vizuri JPM. He will complete his second term and we will elect another CCM candidatureMagufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
ZZK hana diwani hata mmoja, atashindaje ubunge kwa mfumo wa kura za mafiga matatu?ZZK lazima ASHINDE
Kumbe we ni Zuwena? Haujatushtua bado[emoji23]Hahaha Hadi Raha
kutwa Kupinga kupinga Dawa yao ndiyo Hiyo
Itakuwa poaTutegemee yule bwana kujiongezea miaka ya urais
Hivi utanufaika nini wewe na mfumo wa chama kimoja!? PumbavuKufwa fala sana
Mmeipata sasa pigeni kazi. Maisha yatakuwa mepesi sasa....upinzani walitubana sana.....sasa hata mishaara itaongezekaHatutaki demokrasia uchwara!!! Demokrasia ya kuhimizana kuingia barabarani!!! Tunataka demokrasia ya kuhimizana kuingia kazini kujenga nchi yetu Tanzania.
kumbe na wewe unatumia vpn kama korea kaskazini hahahhaha kumbe hata wewe unayapata mauchungu ya magu hahahaha nilikuwa nafikiri ni mimi mwenyewe hahahah''Nchi imeamka ikiwa ni huzuni mkubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM''
Hizo huzuni zitoke wapi wakati mwaka huu ''tumesema sasa basiiii'' (in Lissu voice)
Sisi sio kama Lowassa aliyesema hawezi kuingiza watu barabarani!
Wahenga walisema, ''kufa kufaana''.
Wewe ukiwa na huzuni mwingine ana furaha!
Tanzania kuna vituko!
Maisha yatakuwa ya mteremko sana. Ajira nje nje,tutatetewa sana huko bungeni. Wapinzani walitubana sana!!!![emoji47]Hivi utanufaika nini wewe na mfumo wa chama kimoja!? Pumbavu
Kwan kuna mwaka hamjalalamika, sasa imebaki kuogeza mda wa raisiNadhani tumeyaona mabavu yenu ktk uchaguzi huu.
Mkuu kwanza pole na kumradhi kwa kukukwaza. Yawezekana TUJITEGEMEE wa jukwaa la kimataifa akaonekana tofauti katika majukwaa mengine. Ukweli ni TUJITEGEMEE yuleyule.Nimekufuatilia kwa muda mrefu kupitia jukwaa la Kimataifa ukiwa ni hodari wa kuchambua mambo kiuweledi lakini ninasikitika kila mahali inapoguswa CCM hata kama inafanya uharamu unatetea, ajabu mpaka kwenye mambo ambayo yapo wazi ambayo ni haramu CCM wanafanya unatetea.
Nilichogundua kuwa hauna haya! And if you dont have this quality of bashfulness, then you can do whatever you wish! Because there's nothing can stop you from doing a shameless thing.
Na hauna hata chembe ya kumuogopa Mungu! Sina chama ila ninachokijua ni haki na batili.