Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani hatujakosea kama CCM ilivyokosea wananchi mfano wakulima wa Pamba,korosho.Unaishitaki kwa lipi?
Acheni vituko. Kaeni chini na tafuteni wapi mmekosea kisha muone mnarudi vipi...
Up yours first..Put that finger up your ass mate....you'll be fine.
Saizi raha kila kitu ndioooHahaha Hadi Raha
kutwa Kupinga kupinga Dawa yao ndiyo Hiyo
Sawa wananchi [emoji23][emoji23]Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Nimekufuatilia kwa muda mrefu kupitia jukwaa la Kimataifa ukiwa ni hodari wa kuchambua mambo kiuweledi lakini ninasikitika kila mahali inapoguswa CCM hata kama inafanya uharamu unatetea, ajabu mpaka kwenye mambo ambayo yapo wazi ambayo ni haramu CCM wanafanya unatetea.Hatutaki demokrasia uchwara!!! Demokrasia ya kuhimizana kuingia barabarani!!! Tunataka demokrasia ya kuhimizana kuingia kazini kujenga nchi yetu Tanzania.
You said you weren't happy. I'm offering you sympathy/therapy...put that finger there or cassava root in that asshole, believe me....you'll never come back here to waste our time due to sudden happiness that you are seeking. If you are scared lemme know where you live, I'll come help you stretch that asshole.Up yours first..
WoyooooooMagufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Wacha weeeNi jambo jema.
Maigizo yataisha bungeni.
Hii hali ni ya hatari!''Nchi imeamka ikiwa ni huzuni mkubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM''
Hizo huzuni zitoke wapi wakati mwaka huu ''tumesema sasa basiiii'' (in Lissu voice)
Sisi sio kama Lowassa aliyesema hawezi kuingiza watu barabarani!
Tanzania kuna vituko!
Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Wasted Sperm..You said you weren't happy. I'm offering you sympathy/therapy...put that finger there or cassava root in that asshole, believe me....you'll never come back here to waste our time due to sudden happiness that you are seeking. If you are scared lemme know where you live, I'll come help you stretch that asshole.