-Wewe hujaelewa wapi nimetaja ICC? MIMI nazungumzia taasisi kama EU,WB,USA hao ndiyo wafadhili wetu wakuu watunyime misaada kwa sababu ya kukiuka misingi ya democracyNdugu hakuna cha kushtakiwa wala nini Sheria ya ICC sio kufungua kule moja kwa moja ni lazima shauri lifunguliwe kwenye mahakama ya ndani then itakapofeli kutoa hukumu ndipo ICC inahusika.
Kuitwa ICC ni jambo moja na hukumu ni jambo lingine mpaka hapa mchezo umeisha,utaona mwenyewe.
Na Rais akitangazwa hupingi popote,imeisha hiyoo CCM hoyeee...
-ICC wanashitaki wale ambao mfumo wa local courts umeshindwa hence hakuna haja ya exhaustion of local remedy.