Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

Screenshot_20201029-132135_Chrome.jpg
 
Msisingizie wïzi, maneno ya jpm na majaliwa ktk kampeni kuwa raia wanajichelewesha wenyewe na wao jpm na majaliwa wanataka connection ndio maneno chachu kwa wananchi. Wànanchi wamechagua maendeleo.
Mengine ni visingizio, ktk mkutano wa mbowe hai wananchi wa haî wanampiga maswali mazito mbowe anasingizia wametumwa, hii ngoma wapizaní wamelala. Watumie muda huu kujipanga.
Kwa bungeni ni upinzaní gani tutaumiss zaidi ya kugomea bajeti?
Màjimboni ni nini tutamiss wàkati hawajawã na mchango?
Tusikariri kuwa piga ua lazima wawepo wapinzani mia bungeni, zîto amekua na hoja zaidi ya wabunge wote wa upinzani.
So mkuu sasa Tanzania inaenda kua Ulaya kwa sababu ccm imejijenga.... Hii ni aibu kwa Tanzania na ni aibu kwa watanzania..... Waoneeni huruma ndugu zenu, watoto wenu nk. We are done. Imeniuma sanaa CCM chama changu ila kwenye hili hapana
 
babako na mamako usiwaamulie chama. Wamekusomesha kwa hela za sisiemu huwezi wabadili
Hela za CCM how?
I've never studied in any government school or university na wao hawajawahi kuwa waajiriwa wa serikali.

Akili za nyuma hizi shida sana 😏
 
Eti nchi imeamka na huzuni. Tukubali hili ni taifa la ng'ombe! Wewe watu hawajui who printed ballot papers! makaratasi ya kura yametapakaa kila mahali halafu watu seriously kabisa wanasubiri matokea!
 
Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Sasa hutowaona tena wakitoka nje. Umefurahi?.
 
Ila wapinzani nao wametia dosari sana hasa kile kipindi wanatoka bungeni na kususia vikao wananchi nasi tunachoka na njia hii ya kususia, tunawachagua wa kututete bungeni wao wanatoka bungeni
Hoja hafifu
 
Hamna haja ya kufanya uchaguzi tena....wapeane vijiti tu...akichoka ampe anayempenda...wasitumie kodi zetu vibaya kufanya uchaguzi...wafute vyama vyote kibaki kimoja tu...kila mtu apambane na hali yake
 
Walioamka na huzuni ni wapenzi wa jinsia moja, siyo nchi!

Ukweli ni kuwa idadi kubwa ya wapinzani haikutoka kupiga kura kwa sababu walijua ni kupoteza muda. Hebu fikiria daftari la wapiga kura 1000 wanajitokeza 400 tu hao wengine wako wapi?. Mnajipitisha tunawacheck tu. Tena nawakalili vema sana ili niwajue nione maisha yao miaka mitano ijayo yatakuwaje.
 
This is too much. Hata sisi wana-CCM hatujafurahia. Level ya ubunge ngoma ingeachwa fair at least tukawapata wabunge cream kutoka na upinzani. Ambao kwa ukweli wamekuwa na mchango mkubwa sana sana toka 1992. Leo hii tunaingia kwenye bunge ambalo wabunge wote ni CCM 100%kutoka bara. Labda wa ACT kutoka Pemba kuingia bunge wa JMT, ila napo it depends na kama watakubali au itakuwa kama last time.

Kwa hakika ni uzuni. na wananchi tusishangilie hili. Nchi imeingia katika majaribio makubwa sana. kwa wale slow learners mtaanza kuona madhara yake not even far just 2022.

Nidiriki kusema haijawa njia sahihi na sio afya kwa demokrasia. Mapungufu na wizi ulikuwepo wa kiwango cha juu sana sana. Anyway, tumerudi nyuma hatua 30 katika demokrasia aliyotuachia Baba wa Taifa na Mzee Kikwete.

Hata Mwalimu Nyerere alikuwa anarusu fairness na amekuwa na wabunge wa upinzani before Chama kimoja. Mwinyi naye. Mkapa naye na Kikwete naye. Ila hii ya wabunge wote kutoka bara kuwa CCM... Duuuuh!. kweli tunatofautiana fikra
Wacha uongo hiyo huzuni kwiyo😂😂
 
Ushindani mkubwa kinyang'anyiro sasa ni nani mahiri zaidi kwevye kusema 'ndiooooooooooooo...' na kupiga meza kwa nguvu zaidi.
 
KIGOMA KIGOMA KIGOMA CCM Upumbavu wenu huko huko huku ni mwisho Kenge nyie.
He is back.
Zitooooooooooooooooooo.
 
Mkuu kwanza pole na kumradhi kwa kukukwaza. Yawezekana TUJITEGEMEE wa jukwaa la kimataifa akaonekana tofauti katika majukwaa mengine. Ukweli ni TUJITEGEMEE yuleyule.

Hata hivyo, linapokuja suala la nchi yangu Tanzania ( sina Tanzania nyingine, sina mbadala wa Tanzania) na Afrika kwa ujumla niko tayari kuitwa majina yoyote kama ni suala la kuitetea Tanzania, watanzania, Afrika na waafrika na wote wenye kujali utu ulimwenguni!! Siwezi kuona aibu katika hili. Hivyo, ninaomba uniwie radhi katika hilo pia.

Naitamani Tanzania imara kimaendeleo katika nyanja zote na Tanzania itakayoendelea kuwepo! Yeyote anayetamani Tanzania isiwepo ama irudi nyuma kimaendeleo awe tayari kuniita majina anayotaka, kwa sababu sitakubaliana naye na sitaona aibu katika hilo.

Tuendelee na mjadala Mkuu.
Sidhani Kama wewe waweza kuwa mzalendo kumshinda Hayati Mkapa,ama kumshinda Mh Kikwete.

Kabla ya Mkapa kufa alianza kuona atahari za Joni na Kikwete anaziona athari za Joni.

Sidhani Kama Kikwete anafurahi yanayoendelea.

Na ndio maana ya like neno Wastaafu waache kuwashwawashwa.

Uzalendo sio kuchukia Mawazo mbadala.

Wapinzani Ni Watanzania Kama wewe ila wenye mitazamo tofaauti na CCm.

Inawezekana wapinzani wa CCM Ni wazalendo zaidi kuliko CCM.
 
Siyo kwamba naukubali upinzani kwa asilimia mia,ila kukosekana kwa upinzania ni hatari mara mia moja ya kuwepo kwa upinzani, tutegemee upinzania mzito utakaoibuka sasa zaidi ya upinzani wa kususia bunge na kupiga makelele majukwaani,nchi imejiingiza katika mitihani mizito.
 
Back
Top Bottom