Ile video kwa Millard Ayo wale wanajeshi wawili wanapiga story tu badala wazame kwenye uokozi [emoji119]
Ile kamba inavutwa na waogeleaji tu kwani?Hata kama hawajui kuogelea?
"CCM chama Makini".Alisikika kichaa mmoja kutoka mirembeWatu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
View attachment 2408521
Mamdenyi vipi Tena, hujui wale ni wavuvi kamba kwao ni lazima?Mengine ni aibu,
sasa hizo kamba mmetoa wapi?
Nchi ngumu hiiWatu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
View attachment 2408521
Tumeazima kwa wavuvi 😩Mengine ni aibu,
sasa hizo kamba mmetoa wapi?
Walikua wanasuburi watu wanywe kwanza maji wavimbiwe ndipo wazame sijawaona pengine hata vifaa hawakuwa navyoIle video kwa Millard Ayo wale wanajeshi wawili wanapiga story tu badala wazame kwenye uokozi [emoji119]
Kaa pembeni na Uchawa wako.Mh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk
kuna uzi niliwahi leta humu kuhusu process nzima ya kurecruit miaka ijayo vitakuwa vituko,sio jwtz tu karibia kila sehemuSijawahi elewa kazi ya wanajeshi wale wa majini
Waweza kuwa sahihi sababu elimu tuliyonayo inatusaidia kukariri sio uhalisia wa mazingira.Kila ukipanda Ndege unaelezwa ikitokea Dharura kwenye maji ufanye nini.
Chini ya siti kuna lifejacket unalivaa ukilivaa unaelea hata kama hujui kuogelea.
Hao ziimamoto na uokozi leo jumapili wanakunywa bia zao.
Nchi nyengine hapa waziri husika alitakiwa kujiuzulu!! Kwetu uataambiwa una chuki na waziri !! Sisi mara nyingi tunataka mizimu ya baba zetu itufanyie kazi,tunataka kila kitu Mungu atufanyie kazi.Hatutaki kutumia akili kutatua matatizo yetu .Yani tunabahatisha !! Huna cheni ya mita 100 kuweza kusaidia kuvuta ndege halafu unataka Mungu akusaidie nini? Juzi ndege ya Korean air ilipata ajali ikiwa na abiri zaidi 170 na wote waliokolewa wakiwa wazima .sisi tumambulia 26 tu!! Dah inauma kwa kweliWatu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....
View attachment 2408521
View attachment 2408641