Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ile video kwa Millard Ayo wale wanajeshi wawili wanapiga story tu badala wazame kwenye uokozi 🙌
Ulitaka uniforms zao zilowe maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile video kwa Millard Ayo wale wanajeshi wawili wanapiga story tu badala wazame kwenye uokozi 🙌
Sijawahi elewa kazi ya wanajeshi wale wa majini
Hahaha wangesikia Mnyika kafanya mkutano ndio ungeona kama vikosi vipo au la!Watu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....
View attachment 2408521
View attachment 2408641
Na kuzuia Tundu Lissu asivuke kwenda ukerewe😀Kuhakikisha CCM haitoki madarakani.
Which Means ziwa lote la victoria halina technical measn za rescue.Nimejiskia fedhea sana kuona Ndegge inavutwa na Kamba kama njia ya uokozi. Mbwe mbwe zooooote za ROYAL TOUR leo BBC watarusha ule upuuuzi wa kuvuta ndege na kamba na watasiliba juhudi zote za kutangaza Utalii wetu maaana Dunia itatuona hatuko serious.
Daaaaah lile tukio limetia doa na aibu kubwa sana sekta ya Usafirishaji wa Anga na Uokozi wa Nchi yetu.
Kwenye uchaguzi na kamati za vikao bilions of money huwa zinapatikana haraka sana🤣🤣🤣Hahaaaaa banana republic ,this is the typical one
Iliyoachwa na mwendazakeHii ndio Tz ya mama!
Na hilo tukio linavyofanyika ni utalii tosha [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Nimejiskia fedhea sana kuona Ndegge inavutwa na Kamba kama njia ya uokozi. Mbwe mbwe zooooote za ROYAL TOUR leo BBC watarusha ule upuuuzi wa kuvuta ndege na kamba na watasiliba juhudi zote za kutangaza Utalii wetu maaana Dunia itatuona hatuko serious.
Daaaaah lile tukio limetia doa na aibu kubwa sana sekta ya Usafirishaji wa Anga na Uokozi wa Nchi yetu.
Ile meli iliyozama Ukerewe wakafariki watu 450+ mbele ya bandari si wakati wake?Yap!
Mwenda zake asingefanya huu upuuzi
Kwa mauaji na wizi wa kura. Hivi samia aliletwa na nani?Hakika mtanikumbuka kwa mazuri!
Huko sahau kabisaHii nchi Ina mambo ya aibu, hivi ingeanguka katikati ya ziwa ingekuwaje!!?
Ccm plus kuwa na viongozi vilazaNimejisikia aibu sana...Kweli karne hii Mungu wangu, hakuna hata emergence boat kwenye uwanja ambao miaka kafhaa uwanja wa ndege upo karibu na ziwa? Nani ametuloga ndugu zangu?
Mbona unaandika kama unasinzia vipi?Mh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk
Kazi yao kuuza mitungi ya FIRE EXTINGUISHERS.Huwa najiuliza muda bila majibu hivi zima moto na uokoaji wanafanyaga kazi gani?
Sisi tunaposema CCM imechoka ipumuzishwe nyie mnaleta mizaha mingi mnatuona sisi wapingaji kumbe hua tunamanisha tujifunze kutokana na makosa.ccm ishajichokea jamani.Watu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....
View attachment 2408521
View attachment 2408641