Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM inalindwa na Polisi, Tiss na jeshi, hawahitaji sanduku la kura, wataendelea kuwepo tu pamoja na upuuzi wote huu.Sisi tunaposema CCM imechoka ipumuzishwe nyie mnaleta mizaha mingi mnatuona sisi wapingaji kumbe hua tunamanisha tujifunze kutokana na makosa.ccm ishajichokea jamani.
kituko ingekuwa waleee jamaa fulani ✌✌wasiopendwa na wale mbugila mbogamboga👷👷👷 wako kitaani wanaandamana ungejione mwenyewe ambacho kitakachotokea.. 💣💣💣💥💥💥🚔🚔🚔🚁🚁☁☁Watu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.
Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.
Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....
View attachment 2408521
View attachment 2408641
Hata US wanajua waliokuwa wakiokoa watu ni Wavuvi. Aibu naona mimi!!!!
View attachment 2408740
CCM inalindwa na Polisi, Tiss na jeshi, hawahitaji sanduku la kura, wataendelea kuwepo tu pamoja na upuuzi wote huu.
Bado mkuu maana tuna Tume Mtu siyo Tume HuruCCM ndio inafika ukingoni km hulijui hili..the beginning of the end...
Wanaojali usalama wao watahofu sana kuja Tanzania. Ni mahali hatari kiusalama, ukipatwa na tatizo lolote lile. Fikiria ndege hiyo ingeanguka huko katikati ya Ziwa au baharini.Nimejiskia fedhea sana kuona Ndegge inavutwa na Kamba kama njia ya uokozi. Mbwe mbwe zooooote za ROYAL TOUR leo BBC watarusha ule upuuuzi wa kuvuta ndege na kamba na watasiliba juhudi zote za kutangaza Utalii wetu maaana Dunia itatuona hatuko serious.
Daaaaah lile tukio limetia doa na aibu kubwa sana sekta ya Usafirishaji wa Anga na Uokozi wa Nchi yetu.
Mambo ya kijinga tunayapa umuhimu mkubwa sana. Mambo ya muhimu, tunayapuuza. Hiki ni kipimo kizuri cha kumtambua mtu mjinga.Nchi ngumu hiiView attachment 2408552
Naunga mkono hoja 100%Yaani kuna maajabu makubwa nchi hii. Ni kama vile wanafutwa watu wenye akili ndogo kabisa kuongoza mamlaka za Serikali.
Watanzania tuamke, tusikubali kuongozwa na watu wabinafsi, waongo, wenye upeo mdogo, wanaoamini kuwa kiongozi umepata nafasi ya kujinufaisha badala ya kuwatumikia wananchi.
Kamati ya maafa na uokozi ipo chini ya Waziri mkuu. Kwa tukio kama hili, Waziri Mkuu ajiuzulu mara moja au afukzwe kwa sababu msaada wake kwa usalama wa wananchi ni mdogo mno, na hastahili kufikiriwa katika nafasi yoyote ya umma.
Rais, jukumu lake la kwanza ni usalama na ulinzi wa watu. Taasisi zote za Serikali yake zimefeli. Awaombe msamaha wananchi, na aeleze amechukua hatua gani kuziwajibisha taasisi zote zinazohusiana na uokoaji.
Tabia ya CCM ya mupenda watu wenye upeo mdogo, watu wa ndiyo boss, waongoze kila taasisi.Nimejisikia aibu sana...Kweli karne hii Mungu wangu, hakuna hata emergence boat kwenye uwanja ambao miaka kafhaa uwanja wa ndege upo karibu na ziwa? Nani ametuloga ndugu zangu?
SwadaktaKuhakikisha CCM haitoki madarakani.
Wanakula perdiem ya vikao tuMungu anawaonesha Watanzania namna viongozi na watu wa mipango wasivyowathamini.
Naona kuna shida kwenye kitengo cha dharura ofisi ya Waziri Mkuu
Dereva sukuma twende usisikilize mayoweNchi hii kwa sasa haijulikani Dereva ni yupi na Abiria ni yupi.
Yaani ni kama gari lililokosa mwelekeo baada ya Brake zake kufail.
Wewe baba yako alikuwa mkuu wa propaganda was ccm .Mi simo humo kwenye shenzi zenu.