Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu

Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu

Hao waokoaji kwanini msingetandika makofi
 
CCM NI ILE ILEE!, ILE ILEE!
CCM MBELE KWA MBELE!
OOHH! NI ILE ILE!
CCM MBELE KWA MBELE!
MBELE KWA MBELE!
 
Watu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.

Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.

Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....


View attachment 2408521

View attachment 2408641

Hata US wanajua waliokuwa wakiokoa watu ni Wavuvi. Aibu naona mimi!!!!

View attachment 2408740
kituko ingekuwa waleee jamaa fulani ✌✌wasiopendwa na wale mbugila mbogamboga👷👷👷 wako kitaani wanaandamana ungejione mwenyewe ambacho kitakachotokea.. 💣💣💣💥💥💥🚔🚔🚔🚁🚁☁☁
 
CCM inalindwa na Polisi, Tiss na jeshi, hawahitaji sanduku la kura, wataendelea kuwepo tu pamoja na upuuzi wote huu.

CCM ndio inafika ukingoni km hulijui hili..the beginning of the end...
 
IMG-20221106-WA0102.jpg
 
Yaani kuna maajabu makubwa nchi hii. Ni kama vile wanatafutwa watu wenye akili ndogo kabisa kuongoza mamlaka za Serikali.

Watanzania tuamke, tusikubali kuongozwa na watu wabinafsi, waongo, wenye upeo mdogo, wanaoamini kuwa kiongozi umepata nafasi ya kujinufaisha badala ya kuwatumikia wananchi.

Kamati ya maafa na uokozi ipo chini ya Waziri mkuu. Kwa tukio kama hili, Waziri Mkuu ajiuzulu mara moja au afukzwe kwa sababu msaada wake kwa usalama wa wananchi ni mdogo mno, na hastahili kufikiriwa katika nafasi yoyote ya umma.

Rais, jukumu lake la kwanza ni usalama na ulinzi wa watu. Taasisi zote za Serikali yake zimefeli. Awaombe msamaha wananchi, na aeleze amechukua hatua gani kuziwajibisha taasisi zote zinazohusiana na uokoaji.
 
Nimejiskia fedhea sana kuona Ndegge inavutwa na Kamba kama njia ya uokozi. Mbwe mbwe zooooote za ROYAL TOUR leo BBC watarusha ule upuuuzi wa kuvuta ndege na kamba na watasiliba juhudi zote za kutangaza Utalii wetu maaana Dunia itatuona hatuko serious.
Daaaaah lile tukio limetia doa na aibu kubwa sana sekta ya Usafirishaji wa Anga na Uokozi wa Nchi yetu.
Wanaojali usalama wao watahofu sana kuja Tanzania. Ni mahali hatari kiusalama, ukipatwa na tatizo lolote lile. Fikiria ndege hiyo ingeanguka huko katikati ya Ziwa au baharini.
 
Yaani kuna maajabu makubwa nchi hii. Ni kama vile wanafutwa watu wenye akili ndogo kabisa kuongoza mamlaka za Serikali.

Watanzania tuamke, tusikubali kuongozwa na watu wabinafsi, waongo, wenye upeo mdogo, wanaoamini kuwa kiongozi umepata nafasi ya kujinufaisha badala ya kuwatumikia wananchi.

Kamati ya maafa na uokozi ipo chini ya Waziri mkuu. Kwa tukio kama hili, Waziri Mkuu ajiuzulu mara moja au afukzwe kwa sababu msaada wake kwa usalama wa wananchi ni mdogo mno, na hastahili kufikiriwa katika nafasi yoyote ya umma.

Rais, jukumu lake la kwanza ni usalama na ulinzi wa watu. Taasisi zote za Serikali yake zimefeli. Awaombe msamaha wananchi, na aeleze amechukua hatua gani kuziwajibisha taasisi zote zinazohusiana na uokoaji.
Naunga mkono hoja 100%
 
Nimejisikia aibu sana...Kweli karne hii Mungu wangu, hakuna hata emergence boat kwenye uwanja ambao miaka kafhaa uwanja wa ndege upo karibu na ziwa? Nani ametuloga ndugu zangu?
Tabia ya CCM ya mupenda watu wenye upeo mdogo, watu wa ndiyo boss, waongoze kila taasisi.
 
Hatimaye mmetoa pole na hakuna wa kumuuta mtu ila ndiyo imetokea hivyo.

Msije sema ni kafara maana midomo ni mingi.
 
Daah nimewaza hawa ubalozi wa marekani wametuchukuliaje
Mpaka karne hii nchi haina vifaa vya uokozi daah sisi waafrica sijui tumelaaniwa?
 
Back
Top Bottom