Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Hahaha [emoji23][emoji23] ffs nchi inapitia magumu sanaMengine ni aibu,
sasa hizo kamba mmetoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha [emoji23][emoji23] ffs nchi inapitia magumu sanaMengine ni aibu,
sasa hizo kamba mmetoa wapi?
Kuvaa nguo nyeupe siku ya uhuruSijawahi elewa kazi ya wanajeshi wale wa majini
Kwahiyo kama haitatumika ndio ivutwe na kamba kweli...?Mh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk
Kukagua fire extinguisher na kulewaHuwa najiuliza muda bila majibu hivi zima moto na uokoaji wanafanyaga kazi gani?
[emoji419][emoji419][emoji419]Mungu Wabariki wavuvi wa Ziwa Victoria , pamoja na kuporwa mitumbwi yao na Kuchomewa moto nyavu zao , LAKINI HAWAKUKATA TAMAA , LEO WAMEKUWA MSAADA KWA NCHI YAO
Boti za fiber kazi yake ni kufukuzana na wavuvi ziwani kama wapo kwenye mashindanoWamechukua zile za kufungia mbuzi hata hivo wavuvi wamejitahidi sana basi tu, airport iko karibu na ziwa hakuna rescue team, hakuna boat za fiber ambazo zinaweza kufika kwenye tukio haraka tukisema wanaanza kulialia oohh heshimuni viongozi wakati unaona kabisa viongozi hawana vision ni aibu tupu
Issue ni waliovuta na kamba wamesomea hiyo kazi!? Wenye vyeti vyao na ajira wamekuwa watazamajiMh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk