Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu

Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu

Tu
Kwa hiyo wananchi ni bora kuliko mwanajeshi?
Tuliza kichwa mkuu, wanajeshi wakiwa wachache mfano hao wawili wana-task organize. Sio lazima wote washike kamba, bali wengine hupanga utaratibu mzuri wa uokoaji. Kila mmoja hushiriki kwa nafasi yake, tusiwe na tabia ya kulalamika na kulaumu kila tukio tunaloliona kwenye picha kwa kulipa tafsiri zetu. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili.
 
Itoshe kusema we’re on our own. Wa kuwaita viongozi ndo hao wanatuambia tuhamie burundi
 
Watu na mamlaka yao bila kusahau vitambi vyao wamefika eneo la ajali ya ndege wakiwa na simu zao mikononi bila kifaa chochote cha uokoaji. Mara wapige simu, mara wapige selfie, na vituko vingine vingi huku muda ukisonga.

Wavuvi wamejiongeza kwa kutumia mitumbwi na kamba zao.

Dunia nzima inatushangaa, kwa ujinga unaofanyika....


View attachment 2408521

View attachment 2408641

Hata US wanajua waliokuwa wakiokoa watu ni Wavuvi. Aibu naona mimi!!!!

View attachment 2408740

TUMEAIBIKA SANA ….SASA TUNA MAJESHI KWELI ….? MASAA NANE WAMESHINDWA KUOKOA HATA MTU MMOJA …WAKATI WAVUVI WAMEWEZA KUOKOA WATU 26 PEKE YAO
 
Ukisoma taarifa ya serikali ya ajari hii,hawakuwataja wavuvi kama wamehusika kwenye uokoaji,wanasema ni watu wao wa usalama
 
Tu

Tuliza kichwa mkuu, wanajeshi wakiwa wachache mfano hao wawili wana-task irganize. Sio lazima wote washike kamba, bali wengine hupanga utaratibu mzuri wa uokoaji. Kila mmoja hushiriki kwa nafasi yake, tusiwe na tabia ya kulalamika na kulaumu kila tukio tunaloona kwenye picha kwa kulipa tafsiri zetu. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili.
Muda mwingine ni heri ukakaa kimya utaonekana wa maana zaidi.
 
Mh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk
Acha makasiriko,umeridhishwa na kazi ya uokoaji?
 
Walio okolewa wali pitia wapi.walio baki walishindwa kuwapitishia hapo au wali ambiwa bakini umo umo tuwavute [emoji28][emoji28]
 
Waziri mkuu anashupalia apewe maelezo za abiria wawili waliozida sii uokozi na vifaa vya uokozi. Wakati ofisi yake ndio inapewa mafungu ya maafa aibu sana. Hili ni doa kwa nchi nzima na aibu tosha kabisa. Viongozi wapo maeneo ya matukia kupigwa picha aibu sana.
 
Walio okolewa wali pitia wapi.walio baki walishindwa kuwapitishia hapo au wali ambiwa bakini umo umo tuwavute [emoji28][emoji28]
Walipofungua mlango wa dharula maji yalianza kuingia naona ndo yaliwazuia wengine kutoka
 
download.jpg
 
Alafu linajitokeza libibi kizee limoja limelegea macho linayaelekeza majizi menzie 'na hili mkalitizame'
 
Back
Top Bottom