_minu
Member
- Sep 6, 2021
- 25
- 46
Kwani hao waliokua wanajaribu kuwaokoa si wanafanya out of ubinadamu au, atleast wangesaidia sio wajisimamisheMkuu, sio kila mwanajeshi ni mwokoaji, tusiwe wenye kukashifu tu, tunaoneka wajinga. Hivi unajua kuna jeshi la nchi kavu, anga na majini?