Nchi inaelekea kuwa ngumu sana kwa Rais Samia kuanzia sasa na baada ya 2025

Nchi inaelekea kuwa ngumu sana kwa Rais Samia kuanzia sasa na baada ya 2025

Hapa tz vice ...kazi yake ni kula na kunya tu ndiyo maana jpm alimchagua kuwa vice.

Watoto wadogo ni wengi sana JF nowadays.

Hata kazi ya makam wa Rais na nafas yake hamuijui.

Wengi wenu mnaish Kwa shemeji zenu Kwa migongo ya dada zenu,shida sana
 
Mimi uwa nashangaa sana kuona mwanamke anapewa nafasi ya kupoteza muda kuongoza ...kuongozwa na mwanamke ni kuchagua kati ya haya mambo mawili
1) kupoteza muda bure (kupoteza wakati)
2) au kuharibu mambo kabisa .
Mwanamke yoyote akijitaidi sana kuongoza basi uishia "kupoteza muda " hapo ndiyo kajitahidi kwelikweli ....ila wengiwao ufikia harua ya "kuharibu mambo" kabisa
Kwenye biblia kuna andiko linasema " huku mkiukomboa wakati" andiko ili linaonyesha umuhimu wa wakati
Nadhani tumejifunza kwa vitendo tayari.

Ni sawa na mtu alieachiwa Land Rover Defender atoboe nayo kwenye rough terrain ya tope zito akai ditch na kuchukua Passo eti sababu ni gari mpya kuliko defender.
 
Mimi uwa nashangaa sana kuona mwanamke anapewa nafasi ya kupoteza muda kuongoza ...kuongozwa na mwanamke ni kuchagua kati ya haya mambo mawili
1) kupoteza muda bure (kupoteza wakati)
2) au kuharibu mambo kabisa .
Mwanamke yoyote akijitaidi sana kuongoza basi uishia "kupoteza muda " hapo ndiyo kajitahidi kwelikweli ....ila wengiwao ufikia hatua ya "kuharibu mambo" kabisa
Kwenye biblia kuna andiko linasema " huku mkiukomboa wakati" andiko ili linaonyesha umuhimu wa wakati

Unakifahm kisa Cha Malkia Bilqis,Enz za maisha ya King Solomon??

Mwanamke ana heshima kubwa katika maisha tunayoishi,na ndiyo nguzo ya familia.

Samia so far has done extra ordinary job, best prezoo ever..!!
 
Wewe ni kituko kweli kweli .....kazi ya vice ni hiyo niliyo kuambia usipoteze muda wako bure

Msalimie shemeji Yako hapo maskan,

Maana ndiyo mtaji wako wa kuish town,na ukishiba uje kumkashifu Rais wa nchi,hovyo sana.
 
Nadhani tumejifunza kwa vitendo tayari.

Ni sawa na mtu alieachiwa Land Rover Defender atoboe nayo kwenye rough terrain ya tope zito akai ditch na kuchukua Passo eti sababu ni gari mpya kuliko defender.
Siyo tu kujifunza kwa huyu zuzu mashungi yuliye naye bali mimi nimejifunza toka zamani sana kuwa kuongozwa na mwanamke ni kupoteza wakati au kuharibu mambo kabisa
 
Kazi ni kubwa kwa uwezo wake, busara ni kutoendelea baada ya 2025 aggregate ya matokeo ya kazi ameleta uharibifu mkubwa ndani ya muda mfupi, kuliko mazuri.

‘Bi Tozo’ must go kwa faida yake mwenyewe na watanzania; kudra za mwenyezi mungu ziwe mwisho 2025 voluntarily.
kumbe ndoo lengo lenu ili asingombee sasa tunae mpaka 2030 hutaki hama nchi
 
kumbe ndoo lengo lenu ili asingombee sasa tunae mpaka 2030 hutaki hama nchi

Unajua suala la jamaa Yao kukata kamba mapema wengi wao limewaumiza sana,yaani it's like kama zamu Yao ya kuongoza nchi kama wanavyofikiria,but Kwan kaz ya mungu Ina makosa??

Mungu kampenda Zaid,na Samia kawa blessed to be prezoo, sasa wanaumia na nin??
 
Kuna tofauti kubwa baina ya muislamu na muisiharamu ....muisiharamu ndiyo wanapenda kuongozwa na mwanamke ...kamwe muislamu awezi kuongozwa na mwanamke ni ukafiri

Samia ni president wa nchi,siyo imam Wala Kiongoz wa dini,

Thats why ameapa kuongoza nchi Kwa katiba na siyo Qur an,Kwan ni nchi ya kiislam hii??
 
Mwanamke hajaumbwa kuwa kiongozi hata awe na cheo gani[emoji1787] lazma atasubmit kwa kidume kimuongoze. Hata kama ni mtoto wake wa kiume! Ndio iko hivyo.



Sasa Mbona tangu Uhuru Viongozi ni wanaume lakini bado matatizo ni yale yale?

Hata huduma za msingi imeshindikana kupatikana Kwa uhakika Mwaka mzima kwa kila Mwaka?
Maji ni shida kubwa,
Umeme ni shida kubwa,
Kufikika kwa huduma za jamii za msingi ni shida kubwa,
Vifaa tiba ni shida,
Madawa hospitali ni shida kubwa,
Barabara ni shida kubwa,
Huduma ya Mjamzito na mtoto ni shida kubwa ,
Ajira ni shida kubwa,
N.k.

Je matatizo haya Viongozi wanaume Mbona wameshindwa kuatatua na kutuletea maendeleo?

Mkosoeni kwa haki Kama binadamu wa kawaida lakini sio kwa sababu ya uanawake wake.
 
Sasa Mbona tangu Uhuru Viongozi ni wanaume lakini bado matatizo ni yale yale?

Hata huduma za msingi imeshindikana kupatikana Kwa uhakika Mwaka mzima kwa kila Mwaka?
Maji ni shida kubwa,
Umeme ni shida kubwa,
Kufikika kwa huduma za jamii za msingi ni shida kubwa,
Vifaa tiba ni shida,
Madawa hospitali ni shida kubwa,
Barabara ni shida kubwa,
Huduma ya Mjamzito na mtoto ni shida kubwa ,
Ajira ni shida kubwa,
N.k.

Je matatizo haya Viongozi wanaume Mbona wameshindwa kuatatua na kutuletea maendeleo?

Mkosoeni kwa haki Kama binadamu wa kawaida lakini sio kwa sababu ya uanawake wake.
Swala la viongozi kushindwa kuleta maendeleo ni jambo moja ila swala la kuuza rasilimali za taifa kwa wageni ni jambo jengine. Hakuna kiongozi aliewahi kufanya mkataba wa milele hayupo. Pili mkataba wa kinyonyaji wa kiwango hicho ambacho kina render nchi kuwa powerless against huo mkataba haujawahi kusainiwa mkataba wa hivyo na raisi yeyote before. Kwanza tulitakiwa tuachane na hizo biashara kabisa maana tulishafunguliwa macho kwa kiwango kikubwa awamu iliopita.
 
Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.

Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.

Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, ambao pengine ukaishia 2025 au mapema!

Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.

Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.

Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.

Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.

Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.

Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.

Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Nimemchoka.
 
Kama kuna kipindi Rushwa na Ufisadi vimetamaliki basi ni awamu hii ya sita...

Kwanza watu hawaogopi yeyote, hakuna PCCB wala nani ni mwendo wa 10% tu.......

Ukipata gep piga hela tembea...hakuna wa kufuatilia
 
Back
Top Bottom