Nchi inaelekea kuwa ngumu sana kwa Rais Samia kuanzia sasa na baada ya 2025

Nchi inaelekea kuwa ngumu sana kwa Rais Samia kuanzia sasa na baada ya 2025

Hakuna kazi isiyo na changamoto, Tunapishana uelewa wa mambo tu, kuhusu upigaji ni hulka ya watu na hili lipo katika zama zote, sio makanisani wala misikitini wapigaji wapo

Tuzidi kuwaombea viongozi wetu ili watuvushe salama
 
Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.

Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.

Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, ambao pengine ukaishia 2025 au mapema!

Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.

Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.

Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.

Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.

Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.

Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.

Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Sasa ninakaribia miaka 65 je nikifikisha 75 mwaka 2030 si nitauza jiji la Dar!!!

Muda huo akili itakuwa imechoka hata kusoma mikataba nitashindwa nitakuwa sioni.

Ninaomba 2025 sitagombea tena.
 
Hakuna kazi isiyo na changamoto, Tunapishana uelewa wa mambo tu, kuhusu upigaji ni hulka ya watu na hili lipo katika zama zote, sio makanisani wala misikitini wapigaji wapo

Tuzidi kuwaombea viongozi wetu ili watuvushe salama
Akuvushe uende wapi?
Labda kwao
 
Ndio wanavyojidanganya na kumdanganya huyo maza ndio maana yupo kimya anasikilizia.

Ila hili la bandari halitapoa.

Mtaani kuna watu wengi wamesoma na hawana ajira wapo mtaani wamepigika vibaya.

Wana hasira mno kuona namna wakubwa wanavyojipigia tu huku wao wakiteseka.

Zile zama za kudanganyana hazipo tena.
Heheehe

Ova
 
Ndio wanavyojidanganya na kumdanganya huyo maza ndio maana yupo kimya anasikilizia.

Ila hili la bandari halitapoa.

Mtaani kuna watu wengi wamesoma na hawana ajira wapo mtaani wamepigika vibaya.

Wana hasira mno kuona namna wakubwa wanavyojipigia tu huku wao wakiteseka.

Zile zama za kudanganyana hazipo tena.
Mshaambiwa bandari watu wanataka efficiency ya kazi

Ova
 
Udini ni kauli mbiu ya wagalatia hasa Rais wa nchi anapokuwa muislam,

Haitusumbui
 
Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.

Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.

Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, ambao pengine ukaishia 2025 au mapema!

Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.

Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.

Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.

Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.

Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.

Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.

Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Mama anaijua Siasa.
Alipoona kuna dalili za kushinikizwa katiba mpya kabla ya 2025, kawaletea shipa la bandari mhangaike nalo.
Sasa hv hutosikia tena kelele za katiba. Yaani ht kwenye bajeti hii hakuna fungu la mchakato wa katiba and no one to complain. Peoples are busy for bandari tu kutahamaki 2025 hii hapa na likatiba hili ambalo Mama atajitangazia tu ushindi
 
Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.

Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.

Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, ambao pengine ukaishia 2025 au mapema!

Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.

Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.

Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.

Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.

Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.

Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.

Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Kama haya ni maoni basi sawa...ila kama huu ni ushauri kwa samia basi nakushauri usipoteze muda wako kushauri wapumbavu
 
Rais anayejificha wakati wa changamoto hatufai, hawezi kuwa Amiri Jeshi mkuu huyo.
Akufae asikufae huna cha kumfanya...
Na sasa ndo keshawapoteza, hakuna tena kelele za katiba.
Akiona moto wa bandari umepoa ataleta la kuuza Kilimanjaro.
Mpk 2025 tunaingia kwenye uchaguzi kwa katiba hii hii
 
Wewe labda Tanzania umehamia jana, hizo kelele za watanzania mitandaoni isikupe pressure ni nguvu za soda tu..........hata kabla ya December tutakua tunedandia tukio jingine.
December mbali sana.
Hapo serikali inawaandalia tukio mwezi ujao na wote watahamia huko
 
Pamoja na watetezi wote wa kile kinachoendelea tena kwa makusudi wakitumia mamlaka tuliyowakabidhi kwa jeuri, kiburi na fedhuli ndiye atakuwa rais wa kwanza tangu nchi hii iwe huru kuvuliwa kinga na kushitakiwa kama raia yeyote yule kwa makosa yasiyodhaminika.

1. Hasira ya Mungu haipimiki kwa viganja vya mikono
2. Jeuri ya viongozi wa umma kwa wananchi ina ukomo na vitendo visivyomithilika
3. Kujali pesa kwa ajili ya familia zao huku raia akibangaiza haikubaliki popote
4.Uporaji viwanja kwa wananchi sehemu mbalimbali za nchi kupitia matajiri, wawekezaji na watumishi wasio waaminifu haikubaliki popote

Anguko la uflme linakuja kama dhoruba na tufali bahari watashika nyasi zinazoelea lakini hazitawaokoa kamwe
Masikini mnapojifariji
 
Kazi ni kubwa kwa uwezo wake, busara ni kutoendelea baada ya 2025 aggregate ya matokeo ya kazi ameleta uharibifu mkubwa ndani ya muda mfupi, kuliko mazuri.

‘Bi Tozo’ must go kwa faida yake mwenyewe na watanzania; kudra za mwenyezi mungu ziwe mwisho 2025 voluntarily.
Mwisho wenu nyie ni hapa kwenye keyboard tu.
Hayo makelele yenu hayamzuii kuendelea till 2030
 
Back
Top Bottom