Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Mama apumzike tu, hili la bandari limenichefua sitaki hata kumuona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila ya mabindi ni80000 NRFAKweli unaunga mkono kwa babu na bibi zako kuuza kilo 100 za mahindi kwa 25,000/-?! Au nyie mnaishi maghorofani?
kaone mavuzi ya mkeoMama apumzike tu, hili la bandari limenichefua sitaki hata kumuona.
CCM wameziba masikio naanza kuelewa kwamba ukolini mambo leo unasababishwa na sisi wenyewe kwakuto kombolewa kifikra zetuNimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.
Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko”.
Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake. Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.
Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.
Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.
Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.
Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.
Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.
Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Masikio yao yatazibuka baadaye.CCM wameziba masiko
Kwenye issue ya mahindi mimi nimeweka msimamo wangu. Nitalima mahindi eneo dogo ambalo ni manageable kutosheleza mahitaji ya familia yangu ambalo nina uhakika wa kuvuna gunia 10 kwa eneo dogo. Nikitenga gunia 4 kwa mahitaji ya chakula. yanayobaki yatasolve mambo madogo madogo (mfano kuna ndugu au mtu mwenye uhitaji naweza tuma hata debe 2 U 3). Sina mpango wa kulima mahindi kwa ajili ya biashara.Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.
Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko”.
Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake. Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.
Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.
Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.
Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.
Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.
Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.
Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Serikali imewakatisha tamaa wakulima.Kwenye issue ya mahindi mimi nimeweka msimamo wangu. Nitalima mahindi eneo dogo ambalo ni manageable kutosheleza mahitaji ya familia yangu ambalo nina uhakika wa kuvuna gunia 10 kwa eneo dogo. Nikitenga gunia 4 kwa mahitaji ya chakula. yanayobaki yatasolve mambo madogo madogo (mfano kuna ndugu au mtu mwenye uhitaji naweza tuma hata debe 2 U 3). Sina mpango wa kulima mahindi kwa ajili ya biashara.
Hiyo bei umeitoa wapi, Hujamsikia Bashe Jana Bungeni ? Kakuambia bei elekezi ni 800@kg na kwa gunia 80000, sasa hiyo Yako ya 25000 umeitoa wapi? Acheni ujinga kama unaona unapata hasara usilime hujalazamishwa.
Mpuuzi sio Bashe Bali mbunge wako maana Jana Spika kaliweka wazi kawaambia wabunge waende huko majimboni mwao wafuatilie kama serikali inanunua mahindi chini ya elfu 80 warudi watoe taarifa bunge lijadili kama dharura kwa Kukaa kwao kimya Ina maana bei ndio hiyo hiyo serikali.Bashe ni mpuuzi na mwongo mkubwa. Kama una ndugu au rafiki yako yeyote, piga simu mwulize mahindi yanauzwa shilingi ngapi huko vijiji vya mkoa wa Ruvuma au Njombe, maana huko ndiko kuliko na uzalishaji mkubwa wa mahindi.
Hawa viongozi wetu, hata siku moja usiwaamini wanachotamka, mpaka umehakikisha toka source nyingine, hasa kutoka field.
Ccm mbele kwa mbele
Hakuna wabunge pale kuna wahuni wa mwendazakeMpuuzi sio Bashe Bali mbunge wako maana Jana Spika kaliweka wazi kawaambia wabunge waende huko majimboni mwao wafuatilie kama serikali inanunua mahindi chini ya elfu 80 warudi watoe taarifa bunge lijadili kama dharura kwa Kukaa kwao kimya Ina maana bei ndio hiyo hiyo serikali.
Samia mpakan230Nchi ngumu kwako Labda
SAMIA KANYAGA TWENDE
Acha imani potofu kuhusu wanawake.kauli aliyoitoa chalamila, kuwa tuwe makini na hawa makamu wa rais, ni ya kweli. pia, kwangu bado nina imani ndogo sana kama mwanamke anaweza kuwa rais wa kutuvusha, Mungu hajawaumba hivyo, atatokea tu mwanaume atakayemwelekeza kuelekea kokote.
Wewe labda Tanzania umehamia jana, hizo kelele za watanzania mitandaoni isikupe pressure ni nguvu za soda tu..........hata kabla ya December tutakua tunedandia tukio jingine.Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.
Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.
Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, pengine ukaishia 2025 au mapema!
Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.
Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.
Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.
Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.
Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.
Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.
Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.