THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Hapa tz vice ...kazi yake ni kula na kunya tu ndiyo maana jpm alimchagua kuwa vice.
Nadhani tumejifunza kwa vitendo tayari.Mimi uwa nashangaa sana kuona mwanamke anapewa nafasi ya kupoteza muda kuongoza ...kuongozwa na mwanamke ni kuchagua kati ya haya mambo mawili
1) kupoteza muda bure (kupoteza wakati)
2) au kuharibu mambo kabisa .
Mwanamke yoyote akijitaidi sana kuongoza basi uishia "kupoteza muda " hapo ndiyo kajitahidi kwelikweli ....ila wengiwao ufikia harua ya "kuharibu mambo" kabisa
Kwenye biblia kuna andiko linasema " huku mkiukomboa wakati" andiko ili linaonyesha umuhimu wa wakati
Mimi uwa nashangaa sana kuona mwanamke anapewa nafasi ya kupoteza muda kuongoza ...kuongozwa na mwanamke ni kuchagua kati ya haya mambo mawili
1) kupoteza muda bure (kupoteza wakati)
2) au kuharibu mambo kabisa .
Mwanamke yoyote akijitaidi sana kuongoza basi uishia "kupoteza muda " hapo ndiyo kajitahidi kwelikweli ....ila wengiwao ufikia hatua ya "kuharibu mambo" kabisa
Kwenye biblia kuna andiko linasema " huku mkiukomboa wakati" andiko ili linaonyesha umuhimu wa wakati
Hapa jf au hata barabarani!Hili watu bado wanalo huenda hadi kieleweke?!
Yakiletwa matukio ya kuwatoa kwenye huo mjadala wala hawajali wao bado wamekomaa nalo.
Wewe ni kituko kweli kweli .....kazi ya vice ni hiyo niliyo kuambia usipoteze muda wako bure
Siyo tu kujifunza kwa huyu zuzu mashungi yuliye naye bali mimi nimejifunza toka zamani sana kuwa kuongozwa na mwanamke ni kupoteza wakati au kuharibu mambo kabisaNadhani tumejifunza kwa vitendo tayari.
Ni sawa na mtu alieachiwa Land Rover Defender atoboe nayo kwenye rough terrain ya tope zito akai ditch na kuchukua Passo eti sababu ni gari mpya kuliko defender.
kumbe ndoo lengo lenu ili asingombee sasa tunae mpaka 2030 hutaki hama nchiKazi ni kubwa kwa uwezo wake, busara ni kutoendelea baada ya 2025 aggregate ya matokeo ya kazi ameleta uharibifu mkubwa ndani ya muda mfupi, kuliko mazuri.
‘Bi Tozo’ must go kwa faida yake mwenyewe na watanzania; kudra za mwenyezi mungu ziwe mwisho 2025 voluntarily.
kumbe ndoo lengo lenu ili asingombee sasa tunae mpaka 2030 hutaki hama nchi
Kuna tofauti kubwa baina ya muislamu na muisiharamu ....muisiharamu ndiyo wanapenda kuongozwa na mwanamke ...kamwe muislamu awezi kuongozwa na mwanamke ni ukafiri
Mwanamke hajaumbwa kuwa kiongozi hata awe na cheo gani[emoji1787] lazma atasubmit kwa kidume kimuongoze. Hata kama ni mtoto wake wa kiume! Ndio iko hivyo.
Swala la viongozi kushindwa kuleta maendeleo ni jambo moja ila swala la kuuza rasilimali za taifa kwa wageni ni jambo jengine. Hakuna kiongozi aliewahi kufanya mkataba wa milele hayupo. Pili mkataba wa kinyonyaji wa kiwango hicho ambacho kina render nchi kuwa powerless against huo mkataba haujawahi kusainiwa mkataba wa hivyo na raisi yeyote before. Kwanza tulitakiwa tuachane na hizo biashara kabisa maana tulishafunguliwa macho kwa kiwango kikubwa awamu iliopita.Sasa Mbona tangu Uhuru Viongozi ni wanaume lakini bado matatizo ni yale yale?
Hata huduma za msingi imeshindikana kupatikana Kwa uhakika Mwaka mzima kwa kila Mwaka?
Maji ni shida kubwa,
Umeme ni shida kubwa,
Kufikika kwa huduma za jamii za msingi ni shida kubwa,
Vifaa tiba ni shida,
Madawa hospitali ni shida kubwa,
Barabara ni shida kubwa,
Huduma ya Mjamzito na mtoto ni shida kubwa ,
Ajira ni shida kubwa,
N.k.
Je matatizo haya Viongozi wanaume Mbona wameshindwa kuatatua na kutuletea maendeleo?
Mkosoeni kwa haki Kama binadamu wa kawaida lakini sio kwa sababu ya uanawake wake.
Nimemchoka.Nimeanza kuona kila dadili za rais Samia kuelemewa na uongozi wa nchi hii. Yapo mengi ya hovyo yanaendelea wakati huu watu wakiwa wameweka macho yao kwenye sakata la bandari.
Nimewasikia baadhi ya watumishi wa serikali wakisema, “hiki ni kipindi cha mteremko, ni wakati wa kupiga hela”.
Kuna hisia za nchi “kupigwa mnada”. Hili limekuwa doa kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa rais Samia na pengine kwa kipindi chote cha uongozi wake, ambao pengine ukaishia 2025 au mapema!
Wananchi wameonesha waziwazi hofu yao dhidi ya mkataba wa bandari zetu lakini hata hivyo serikali haijaonesha utayari wa kuondoa hofu hii.
Viongozi wa serikali wametumia wakati huu kutekeleza utaratibu usio na tija kwa taifa. Mfano zuio la kuuza chakula nje ya nchi limetokea ghafla malori yakiwa tayari mpakani na wafanyabiashara wanalalamika hasara kubwa. Bei ya mahindi mikoa ya kusini imeshuka ghafla kutoka 75,000 hadi 25,000 kwa gunia na wakulima wamekata tamaa. Wanepoteza imani kwa uongozi wa nchi.
Udini na Uzanzibari vinetawala leo na wengi waneonesha kutokuwa na imani na muungano. Hakuna wakati muungano wetu umebezwa kama katika kipindi hiki kifupi cha June 2023. Mpaka wamesikika viongozi wakubwa kutoka Zanzibar wakisema basi ikibidi “tugawane mbao”.
Msururu wa mikataba yenye hisia za “kupigwa” ndio jambo kubwa linalotawala kwasasa. Kwa kiasi kikubwa sana imani ya watanzania kwa rais Samia imeshuka sana. Watu wengi mtaani wanahoji uwezo wa rais Samia kuongoza nchi yetu.
Tunapoelekea 2025 tutarajie hali ngumu zaidi kwa uongozi wa rais Samia kwani wapo walio pamoja nae katika uongozi lakini wana hamu ya kuona anashindwa ili wapate nafasi ya kuongoza.
Mambo mengi serikalini hayaendi vizuri na maafisa wengi wa serikali wanafurahia kipindi hiki cha “mteremko” , wafanyakazi wengi serikalini wamerelax na wamerudi kufanya kazi kwa mazoea kwani wana uhakika wa kutowajibishwa.
Rais Samia anahitaji busara na hekima za hali ya juu. Nahisi kwamba kuna wakati itabidi awe mbabe kama mtangulizi wake ili kuleta adabu nchini. Lakini hataweza kuyafanya hayo pasipo kuharibu heshima na haiba yake machoni pa watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Anaweza akaja mwingine akawa mara 10 yake,tatizo ni katiba, kabla hajaondoka yeye tupate katiba mpya.Mama apumzike tu, hili la bandari limenichefua sitaki hata kumuona.