Nchi inaharibika kwa Kasi sana. Umeshawahi kumuona wapi mtoto wa kigogo anafikiria kusoma VETA?

Nchi inaharibika kwa Kasi sana. Umeshawahi kumuona wapi mtoto wa kigogo anafikiria kusoma VETA?

Veta ingekuwa Kuna maarifa yanaparikana sawa ila elimu ya veta haiendani na wakatiufundi magari sasa hivi umejikita kwenye programing Kuna software zina detect tatizo wanazo Wachina,fundi wa vibatari siku hizi cm tu zina touch mafundi ujenzi bora hata saidia fundi anakuwa fundi umeme wa majumbani ungefundishwa primary school kila mtu anaetaka cherehani Haina Dili Tena Kuna mashine kibao zinaunda Nguo kila idara Wachina wamekuja na nyenzo rahisi kiasi kwamba vyuo havtoi elimu shindani.
Upo sahihi...lakini ili VETA zipige hatua inabidi kwanza tuzikubali kisha ndiyo tuone namna ya kuziboresha ziende kisasa zaidi kama unavyosema!
 
Kiongozi, ili Nchi iweze kuendelea LAZIMA watu wa Elimu ya kati wawe wengi sana kwani Elimu ya kati (Diploma, Veta nk ndiko ujuzi unakofundishwa
Ukishaona Nchi imeja vyuo vikuu, huku vyuo vya kati vikiwa vichache; ujue inaenda kuangukia pua.
Wawezekezaji wanahitaji watu wengi wenye Elimu ya kati/Ujuzi na sio madegree
Elimu ya kati ndio Engine ya Uchumi
Fikiria leo hii Muekezaji aseme anataka kuleta kiwanda cha Toyota hapa TZ
  • Atahitaji wapiga rangi wenye ujuzi pengine 100
  • Wenye Elimu ya mechanics pengine 1000
  • Wenye ujuzi wa hydraulic nk pengine 200
  • Wenye ujuzi wa umeme wa magari pengine 200
  • General walkers (wenye ujuzi mdogo mdogo kama kujaza upepo, kufunga nut, nk pengine 200
Hao wa madegree nk atakuja nao kutoka kwao kwa ajili ya kusimamia; Pengine kwa hapa ataweza kuajiri kama 30 tu kati ya waajiriwa pengine 1500.
Umeandika vizuri sana...I wish watu wengi wangeelewa hii dhana.
 
Mtu akianzia VETA mpaka aje apate degree ni ana miaka 50, watoto wa vigogo miaka 23 ana masters
Na sikuizi ubavu wanao, unakuta form 4 kapiga div 1 kali,, form 6 ana div 1 yake kali,, chuo GPA yake ni between 3.5-5.0. Akitaka kuomba kazi anaambiwa subiri unawahi wapi,, Anaanza kutafuta professional certificates,, mara CPA, Na vicourse mshenzi vyote vile unavyovionaga as added advantage kwa fani husika kavipiga..

Na kwa kubarikiwa zaidi ana connection ya uhakika ,, maskini tunabaki kulia tu kitaa 😀😀
 
Na sikuizi ubavu wanao, unakuta form 4 kapiga div 1 kali,, form 6 ana div 1 yake kali,, chuo GPA yake ni between 3.5-5.0. Akitaka kuomba kazi anaambiwa subiri unawahi wapi,, Anaanza kutafuta professional certificates,, mara CPA, Na vicourse mshenzi vyote vile unavyovionaga as added advantage kwa fani husika kavipiga..

Na kwa kubarikiwa zaidi ana connection ya uhakika ,, maskini tunabaki kulia tu kitaa 😀😀
Lazima tufute huu mfumo ovu
 
Mkuu acha makasiriko! VETA wanafundisha skills ukitoka ukajitegemee kwa fani uliyosomea! siyo hayo mashokoro mageni ya kutawala na kutawaliwa.
Hoja ni umeshamuona mwenye div one anaenda VETA? Au FETA. Conclusion ni kwamba wanapenda huko ni vilaza ambao reasoning ni almost zero
 
Back
Top Bottom