The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
- Thread starter
-
- #21
This is above your paycheck young boy this is for the men.Acha kulia lia humu kama kondoo mpumbavu. Mbona wewe unadokoaga chakula jikoni kwa shemeji yako na kuiba kuku, vitunguu na nyanya huko gengeni?
Mwizi ni mwizi tu. Kila mtanzania ni mwizi katika nafasi yake. Potezea na songa mbele.
Na ndiyo huyo huyo analalamikiwa hadi leo na lile genge lake la cold war ndani ya coridor ndefu za Saigon na gaborone roomSema nini, issue ya Rugemalira sio ya kuiongelea leo,
Leo tuongelee mafuta na Umeme,
Huyo dogo kula bata na Rihana haituhusu, kwa sababu ni pesa zake, hata akiamua kutoa 1T kula bata ni zake,
Issue ya IPTL wa kulaumiwa ni kina kikwete na wenzake
Rugemarila mzee alikuwaga mtumishi wa benki kuu alipotoka ndiyo akaingiaKuhusu huyo mtoto wa Rugemalira naweza kumtetea. Hiyo familia imekuwa inajihusisha na Biashara tangu miaka ya 90.
Mzee wao ana kiwanda cha beer cha Heineken na biashara nyingine ikiwemo kampuni ya kuzalisha Umeme wa IPTL kama mbia.
Ndiyo maana hata baada ya kufungwa na JPM kuhusu Uhujumu Uchumi, yeye aliishia kutolewa baada ya kukosekana ushahidi wa kumtia hatihani.
Kumbuka Familia ya Rugemalira sio watumishi wa Umma.
Hivyo ni ngumu wao kuingia Benki Kuu kuchota fedha za Umma isipokuwa Watumishi na Viongozi waliopewa dhamana ya kutuongoza.
Kama kuna lawama, nadhani wanaostahili ni Viongozi wa Umma na sio hao akina Rugemalira.
Tujitahidi kuchagua Viongozi waadirifu kwenye nafasi zote za Uongozi badala ya kuwachagua Viongozi wezi, mafisadi, wachafu, wenye skendo n.k
Tulia wewe. Wewe bado ni mwizi tu usidhani kudokoa dokia chakula jikoni kwa shemeji yako siyo mwizi.This is above your paycheck young boy this is for the men.
Hii nchi ilipofikia haina tofauti na kuku anayetembea huku akiwa hana kichwa.Wameshindwa kusimamia swala la mafuta vitu vingi vitawasumbua sijaelewa Mama anashindwa vip kusimamia hili jambo la muhimu na anaonekana yupo makini mafuta yana 26% yeye anachukua ushauri wa Msingida waweke Ruzuku ambayo haisaidii chochote badala ya kufuta baadhi ya kodi wao wapo tuu na ruzuku huku mafuta yakiendelea kupanda bei...
Mwanzo nilikua siamini kabisa ila sasa hivi nimeanza kuelewa aisee yaani Msingida alipotoa wazo la Ruzuku na Mama kusema hadharani kuwa jamaa katoa wazo zuri nikajua tushakwisha nimesoma gazeti moja la Nje wanashangaa mafuta kupanda bei Tanzania kwa miezi minne mfululizo...Hii nchi ilipofikia haina tofauti na kuku anayetembea huku akiwa hana kichwa.
Nilikuwa sifahamu kuhusu hilo, ila binafsi nimemfahamu kupitia biashara zake zaidi ya 10 alizonazo.Rugemarila mzee alikuwaga mtumishi wa benki kuu alipotoka ndiyo akaingia
Kwenye mabiashara tritel nk
Ova