zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kipindi CHADEMA wanapinga ukuta wa Mererani mlikejeli kaingia Samia anasema baada ya ukuti wizi ulizidi kupitia mahandaki!!Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa, nikarudia mara ya pili sijaelewa, nikarudia mara ya tatu Ila bado. Wenzetu hamna akili?
Yaani nyie watu Kila kitu lawama CHADEMA alafu baadae kitu hiko hiko kikifanywa na CCM mnanywea!!
Njooni sasa mseme CCM inatumika na wazungu ndio maana ilikejeli uwepo wa ukuta. Au wakikosoa wapinzani pekee ndio wanageuka mabeberu??