Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Polis si watanzania?Kila Mtanzania anazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polis si watanzania?Kila Mtanzania anazo.
Yule mbunge aliyekamatwa na bunduki nyingi tu ni wa chadema, yule mwingine Lori lake liaozea polisi ni chadema, au mchana ni Ccm usiku ni chadema?Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.
Mjinga ninayejua ukweli au uliyejazwa propaganda na ukawaamini?Inakusaidia nini kuandika kitu unachojua wazi kuwa ni uongo. Unaidanganya nafsi yako halafu unajifariji. Ujinga huu!
Magufuli aliwafungulia.Kwanini hamuwafungilii kesi za " wauza dawa za kulevya", "ujangili", ufisadi?
Dunia nzima imejaa polisi.Polis si watanzania?
Umepakatwa?Acha shobo mtoto wa kiume utapakatwa
Utueleze wewe uliyeshindwa hata kuwataja kwa majina na ID yako fake.Yule mbunge aliyekamatwa na bunduki nyingi tu ni wa chadema, yule mwingine Lori lake liaozea polisi ni chadema, au mchana ni Ccm usiku ni chadema?
Yaaani hapo hujawataja tu kwa majina Rostam ( ccm), Riz1( ccm) l,Chenge( ccm) na Kinana ( ccm). Kwa hiyo chadema ni vibaraka ws hao niliowataja?Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.
Halafu zikaishia wapi? Mnashindwa nini kuendeleza? Au mpaka marehem afufukeMagufuli aliwafungulia.
HahahahaDunia nzima imejaa polisi.
Pascal Mayalla anaungaunga tu maisha sema ana "Connection" sana ingawa "when time goes by" na"Generation change" zinazidi kupungua. Ila ingawa jina lake linamaanisha njaa kwa Mujibu wa "Home Boy" wake John Magufuli, Paskali hawezi kufa njaa mpaka mwisho wa maisha yake.Unamaanisha jamaa ni pasco
Basi ndie profesa mgae mwenyewePascal Mayalla anaungaunga tu maisha sema ana "Connection" sana ingawa "when time goes by" na"Generation change" zinazidi kupungua. Ila ingawa jina lake linamaanisha njaa kwa Mujibu wa "Home Boy" wake John Magufuli, Paskali hawezi kufa njaa mpaka mwisho wa maisha yake.
johnthebaptist yeye ni mnufaika wa CCM na Mfumo na Pasco hajawahi kufikia "Level" ya Johnthebaptist. Usimchukulie poa Johnthebaptist, maisha yake ni zaidi ya dola 100 kwa siku. HANA SHIDA YA MAISHA kama waganga njaa wengi wa LUMUMBA BUKU SABA.
UTEUZI???Hakuna mtu anayeilaumu Chadema wakati nchi iko kwenye mikono salama.
Mwenyekiti Mbowe katulia baada ya kuona mwelekeo wa nchi ni ule ambao kila Mtanzania anautaka
Mlevi wa komoni tu wewe. Ndiyo maana unajiuliza mwenyewe maswali ya kipuuzi, kiasi cha kuonekana kituko.Wewe najua akili huna na hujawahi kuwa nazo
Huwezi elewa ndio maana CHADEMA wotee wakihamia CCM wanalamba teuzi, ww unabaki kupiga mihayo ofisi za kata hapo!!Hata hapa sijaelewa. Ni Kama huko chadema mnatolewa kwanza akili.
Ndio nakuuliza lawama kwa Lissu alipotangaza kifo Cha JPM zilikua za nini ilihali sahivi mnalialia kuwa JPM kauwawa na Team JK?JPM ni shujaa wa Afrika.
Kuhusu kifo kila nafsi itaonja umauti, hata wewe hautaishi milele.
Mwanyika alikua VP wa Hao mabeberu vipi mkampa Ubunge? Au kwenye ripoti ya makinikia kuna jina la CHADEMA yeyote??Wakala wa mabeberu ni aliyekuwa anaunga mkono mabeberu na masilahi yao over Tanzania and Tanzanians.
We naye akili hauna, kabudi alisema mazungumzo yalihusisha ACACIA/BARRICK kuondoa kesi zote mahakamani!!Vibaraka wa mabeberu walisema tutashitakiwa MIGA, mpaka sasa tunadunda na hakuna case yoyote.
Pengine hunijui vizuriHuwezi elewa ndio maana CHADEMA wotee wakihamia CCM wanalamba teuzi, ww unabaki kupiga mihayo ofisi za kata hapo!!