Nchi inaongozwa na CCM, kwanini wanalaumiwa CHADEMA?

Nchi inaongozwa na CCM, kwanini wanalaumiwa CHADEMA?

CCM lazima wajue kwamba mwisho wa ubaya ni aibu siku tukishika Dola tutakuwa tunawacheki tu na kamwe hatutalipisha kisasi kwa yote waliyotutendea.

Sana sana watakuwa wanakuja kutubomu hela ya mboga nasi bila hiana tutakuwa tunawapa visenti.
 
Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.
Ambao hao mabeberu ni washirika wazuri wa Serikali ya CCM, hao mafisadi ni wanachama wa CCM, wauza unga wote wanajificha kwenye nguo za kijani....
 
Yule na wenzake hana shida za Maisha. johnthebaptist anakula anachotaka na siyo kinachopatikana na akitaka kwenda Ulaya au kwingineko hata mara tatu kwa mwaka, anaweza. Ana mafao ya kuendelea mpaka afe.

Humu anakuja kuonesha tu hasira zake dhidi ya CHADEMA na shukrani zake kwa CCM kwa kumwezesha kuishi maisha ya anasa mpaka uzeeni. Siyo kijana mdogo kama wengi wanavyofikiri.

Jana alikuwa analalamikia mambo ya Kawe. Jiulize Jimbo la kawe maeneo yake ni yepi.
Unamaanisha jamaa ni pasco
 
Kama hujaelewa,ujue tu udumavu wa akili tokana na lishe duni uliyoipata kutokana na umasikini wa familia yako ndio chanzo.
Unaposema "wenzetu", ni wewe na nani!?
Mbona mleta uzi ni mmoja!!??
Pole sana kwa uzuzu.
Ni pamoja na wewe, mngekua mna akili mngeleta mada za kueleweka
 
Kipindi CHADEMA wanapinga ukuta wa Mererani mlikejeli kaingia Samia anasema baada ya ukuti wizi ulizidi kupitia mahandaki!!

Yaani nyie watu Kila kitu lawama CHADEMA alafu baadae kitu hiko hiko kikifanywa na CCM mnanywea!!

Njooni sasa mseme CCM inatumika na wazungu ndio maana ilikejeli uwepo wa ukuta. Au wakikosoa wapinzani pekee ndio wanageuka mabeberu??
Hata hapa sijaelewa. Ni Kama huko chadema mnatolewa kwanza akili.
 
Back
Top Bottom