Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
This says more about you.wewe ni shoga la ccm ndio mnaofugwa kwenye makorido ya lumumba kwa ahad za uteuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This says more about you.wewe ni shoga la ccm ndio mnaofugwa kwenye makorido ya lumumba kwa ahad za uteuz
Mlirudisha nini?Ukimrudishia mtu anayekudai kitu chake, unataka akushitaki ili iweje?
Kwani yale mabilioni ya ACACIA tulilipwa??
Ila ninyi mliokumbatia COVID 19 siyo vibaraka wa mabeberu?Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.
CDM mnataka hadi kupangia watu avatars!!!Kulikuwa na umuhimu Gani wa hiyo picture kwenye avatar Yako?
Ndio maana mnalamu chadema
Mimi sina!Kila Mtanzania anazo.
Covid-19 imekumbatiwa na CDM from the very beginning.Ila ninyi mliokumbatia COVID 19 siyo vibaraka wa mabeberu?
Utakuwa Mrundi.Mimi sina!
Tuheshimiane tafadhaliUtakuwa Mrundi.
With due respect, mkuu.Tuheshimiane tafadhali
Tuliambiwa tutapata kila mtu Noah moja. Au "Mzalendo" umeshasahau?Mlirudisha nini?
Ambao hao mabeberu ni washirika wazuri wa Serikali ya CCM, hao mafisadi ni wanachama wa CCM, wauza unga wote wanajificha kwenye nguo za kijani....Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.
Unamaanisha jamaa ni pascoYule na wenzake hana shida za Maisha. johnthebaptist anakula anachotaka na siyo kinachopatikana na akitaka kwenda Ulaya au kwingineko hata mara tatu kwa mwaka, anaweza. Ana mafao ya kuendelea mpaka afe.
Humu anakuja kuonesha tu hasira zake dhidi ya CHADEMA na shukrani zake kwa CCM kwa kumwezesha kuishi maisha ya anasa mpaka uzeeni. Siyo kijana mdogo kama wengi wanavyofikiri.
Jana alikuwa analalamikia mambo ya Kawe. Jiulize Jimbo la kawe maeneo yake ni yepi.
Na nani?Tuliambiwa tutapata kila mtu Noah moja. Au "Mzalendo" umeshasahau?
Inakusaidia nini kuandika kitu unachojua wazi kuwa ni uongo. Unaidanganya nafsi yako halafu unajifariji. Ujinga huu!Siyo mmoja tu: Mbowe, Lissu, na wengineo wote.
Ni pamoja na wewe, mngekua mna akili mngeleta mada za kuelewekaKama hujaelewa,ujue tu udumavu wa akili tokana na lishe duni uliyoipata kutokana na umasikini wa familia yako ndio chanzo.
Unaposema "wenzetu", ni wewe na nani!?
Mbona mleta uzi ni mmoja!!??
Pole sana kwa uzuzu.
Hata hapa sijaelewa. Ni Kama huko chadema mnatolewa kwanza akili.Kipindi CHADEMA wanapinga ukuta wa Mererani mlikejeli kaingia Samia anasema baada ya ukuti wizi ulizidi kupitia mahandaki!!
Yaani nyie watu Kila kitu lawama CHADEMA alafu baadae kitu hiko hiko kikifanywa na CCM mnanywea!!
Njooni sasa mseme CCM inatumika na wazungu ndio maana ilikejeli uwepo wa ukuta. Au wakikosoa wapinzani pekee ndio wanageuka mabeberu??
Wewe najua akili huna na hujawahi kuwa nazoUtaelewa vipi na hizo pombe zako za kienyeji ulizo kunywa mchana wa jua kali? Kale kwanza chakula cha mchana ili akili yako ikae sawa.
Kwanini hamuwafungilii kesi za " wauza dawa za kulevya", "ujangili", ufisadi?Kwa kuwa ni vibaraka wa mabeberu, mafisadi, majangiri na wauza madawa ya kulevya.