JPM aliuwawa?Ndio nakuuliza lawama kwa Lissu alipotangaza kifo Cha JPM zilikua za nini ilihali sahivi mnalialia kuwa JPM kauwawa na Team JK?
Tatizo lenu na JPM mlidhani adui ni CHADEMA yakwapi sasa!! Hao hao CCM ndio wanaponda Kila alichofanya.
Ushaitia aibu familia, nn hiki sasa unaandika?Mlevi wa komoni tu wewe. Ndiyo maana unajiuliza mwenyewe maswali ya kipuuzi, kiasi cha kuonekana kituko.
Tulishitakiwa MIGA?Mwanyika alikua VP wa Hao mabeberu vipi mkampa Ubunge? Au kwenye ripoti ya makinikia kuna jina la CHADEMA yeyote??
wafuasi wa JPM akili sijui mliacha wapi, amkeni adui yenu ni CCM sio CHADEMA.
Tuwekee fasiri.We naye akili hauna, kabudi alisema mazungumzo yalihusisha ACACIA/BARRICK kuondoa kesi zote mahakamani!!
Soma hapo ingawa najua lugha ni changamoto
Sh426 billion cases filed against Tanzania in global courts
Tanzania is currently facing 13 cases on investment disputes in various international courts with $185.58 million (about Sh426 billion) demanded.www.bilaterals.org
Kwa comments zako tu unaonekana Una IQ ndogo sana, sidhani hata Una Elimu walau ya form 4!!Pengine hunijui vizuri
Usiruke umeambiwa hapo kesi zilikua 13..... tatizo lenu mnadhani hii nchi Kila mtu mjinga mjinga.Tuwekee fasiri.
Kwahiyo Kabudi humiamini anavyosema Pangaea minerals na Bulyanhulu walifungua kesi kwenye mahakama za kimataifa?Tulishitakiwa MIGA?
Kuna post kwenye Uzi wa Mama Samia ule wewe ndio umedai hivyo sasa unachobisha ni nini!!!JPM aliuwawa?
Huna elimu wa ubavu wowote wa kushindana na mm kwenye loloteKwa comments zako tu unaonekana Una IQ ndogo sana, sidhani hata Una Elimu walau ya form 4!!
Na wajinga kama nyie ndio mtaji wa CCM, yaani makinikia wametaja Wana CCM 20 alafu jitu linasema Lissu ndio alitumika na mebeberu kwenye makinikia!!
Kuna watu mnakera sana
Usiwe mwepesi kupoteza kumbukumbu;Kwa ufuatiliaji wangu niliofanya kwenye mambo mbali mbali, nimegundua kwamba CHADEMA imekuwa ikilaumiwa mara nyingi kwamba haitimizi wajibu wake hadi mambo yanaharibika. Kwamfano;
Wakati wa Bunge la katiba CHADEMA iliongoza vyama vingine kutoka kwenye vikao vilivyokuwa vinaendelea vya Bunge la Katiba kupinga jinsi Bunge hilo lilivyokuwa linaendeshwa.
Na mchakato wa kupata Katiba mpya ukaishia hapo. Lakini wabunge waliobakia walikuwa wengi na walipitisha Katiba Pendekezwa. Kwa nini mchakato wa kupiga kura ya maoni ili kuipitisha hiyo Katiba ulifutiliwa mbali?
Huo ni mfano mmoja tu, lakini ukiangalia hata ile marufuku ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ililengwa CHADEMA. Hoja iliyotolewa wakati ule na hata sasa ni kwamba mikutano hiyo inazuia watu wasifanye kazi.
Nchi hii inaongozwa na CCM, ni kwa nini basi kila lawama ya kukwama kwa mambo wanatupiwa CHADEMA? Au CCM wanaona wanaostahili kuongoza nchi yetu ni CHADEMA?
Imekumbatiwa kivipi???Ina maana Mahera,Magufuri,Mwigulu Nchemba,Ndugai na Tulia Ackson ni CHADEMA?Watu wa mwendazake mnashangaza kwa kweli.Covid-19 imekumbatiwa na CDM from the very beginning.
Elimu na ubavu unaonekana tu kwenye maandishi. Hata credibility yangu tu na Yako humu JF zinalingana?Huna elimu wa ubavu wowote wa kushindana na mm kwenye lolote
Kwa ufuatiliaji wangu niliofanya kwenye mambo mbali mbali, nimegundua kwamba CHADEMA imekuwa ikilaumiwa mara nyingi kwamba haitimizi wajibu wake hadi mambo yanaharibika. Kwamfano;
Wakati wa Bunge la katiba CHADEMA iliongoza vyama vingine kutoka kwenye vikao vilivyokuwa vinaendelea vya Bunge la Katiba kupinga jinsi Bunge hilo lilivyokuwa linaendeshwa.
Na mchakato wa kupata Katiba mpya ukaishia hapo. Lakini wabunge waliobakia walikuwa wengi na walipitisha Katiba Pendekezwa. Kwa nini mchakato wa kupiga kura ya maoni ili kuipitisha hiyo Katiba ulifutiliwa mbali?
Huo ni mfano mmoja tu, lakini ukiangalia hata ile marufuku ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ililengwa CHADEMA. Hoja iliyotolewa wakati ule na hata sasa ni kwamba mikutano hiyo inazuia watu wasifanye kazi.
Nchi hii inaongozwa na CCM, ni kwa nini basi kila lawama ya kukwama kwa mambo wanatupiwa CHADEMA? Au CCM wanaona wanaostahili kuongoza nchi yetu ni CHADEMA
Kwa mtazamo wangu,inawezekana CHADEMA au vyama pinzani kwa kujali kustahili lawama kwa kukwama kwa baadhi ya mambo kwani wao ndio wapinzani na wanachotakiwa ni kuipa challenges serikali wao kama wapinzaniKwa ufuatiliaji wangu niliofanya kwenye mambo mbali mbali, nimegundua kwamba CHADEMA imekuwa ikilaumiwa mara nyingi kwamba haitimizi wajibu wake hadi mambo yanaharibika. Kwamfano;
Wakati wa Bunge la katiba CHADEMA iliongoza vyama vingine kutoka kwenye vikao vilivyokuwa vinaendelea vya Bunge la Katiba kupinga jinsi Bunge hilo lilivyokuwa linaendeshwa.
Na mchakato wa kupata Katiba mpya ukaishia hapo. Lakini wabunge waliobakia walikuwa wengi na walipitisha Katiba Pendekezwa. Kwa nini mchakato wa kupiga kura ya maoni ili kuipitisha hiyo Katiba ulifutiliwa mbali?
Huo ni mfano mmoja tu, lakini ukiangalia hata ile marufuku ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ililengwa CHADEMA. Hoja iliyotolewa wakati ule na hata sasa ni kwamba mikutano hiyo inazuia watu wasifanye kazi.
Nchi hii inaongozwa na CCM, ni kwa nini basi kila lawama ya kukwama kwa mambo wanatupiwa CHADEMA? Au CCM wanaona wanaostahili kuongoza nchi yetu ni CHADEMA?
Kwa mtazamo wangu,inawezekana CHADEMA au vyama pinzani kwa kujali kustahili lawama kwa kukwama kwa baadhi ya mambo kwani wao ndio wapinzani na wanachotakiwa ni kuipa challenges serikali wao kama wapinzani
And whyKwa ufuatiliaji wangu niliofanya kwenye mambo mbali mbali, nimegundua kwamba CHADEMA imekuwa ikilaumiwa mara nyingi kwamba haitimizi wajibu wake hadi mambo yanaharibika. Kwamfano;
Wakati wa Bunge la katiba CHADEMA iliongoza vyama vingine kutoka kwenye vikao vilivyokuwa vinaendelea vya Bunge la Katiba kupinga jinsi Bunge hilo lilivyokuwa linaendeshwa.
Na mchakato wa kupata Katiba mpya ukaishia hapo. Lakini wabunge waliobakia walikuwa wengi na walipitisha Katiba Pendekezwa. Kwa nini mchakato wa kupiga kura ya maoni ili kuipitisha hiyo Katiba ulifutiliwa mbali?
Huo ni mfano mmoja tu, lakini ukiangalia hata ile marufuku ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ililengwa CHADEMA. Hoja iliyotolewa wakati ule na hata sasa ni kwamba mikutano hiyo inazuia watu wasifanye kazi.
Nchi hii inaongozwa na CCM, ni kwa nini basi kila lawama ya kukwama kwa mambo wanatupiwa CHADEMA? Au CCM wanaona wanaostahili kuongoza nchi yetu ni CHADEMA?
And kwann Chadema?.Kwa sababu tunapoongelea wapinzani, mpinzani mkubwa wa CCM ni CHADEMA hili lilijizihirisha kwenye chaguzi zilizopitaKwa ufuatiliaji wangu niliofanya kwenye mambo mbali mbali, nimegundua kwamba CHADEMA imekuwa ikilaumiwa mara nyingi kwamba haitimizi wajibu wake hadi mambo yanaharibika. Kwamfano;
Wakati wa Bunge la katiba CHADEMA iliongoza vyama vingine kutoka kwenye vikao vilivyokuwa vinaendelea vya Bunge la Katiba kupinga jinsi Bunge hilo lilivyokuwa linaendeshwa.
Na mchakato wa kupata Katiba mpya ukaishia hapo. Lakini wabunge waliobakia walikuwa wengi na walipitisha Katiba Pendekezwa. Kwa nini mchakato wa kupiga kura ya maoni ili kuipitisha hiyo Katiba ulifutiliwa mbali?
Huo ni mfano mmoja tu, lakini ukiangalia hata ile marufuku ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ililengwa CHADEMA. Hoja iliyotolewa wakati ule na hata sasa ni kwamba mikutano hiyo inazuia watu wasifanye kazi.
Nchi hii inaongozwa na CCM, ni kwa nini basi kila lawama ya kukwama kwa mambo wanatupiwa CHADEMA? Au CCM wanaona wanaostahili kuongoza nchi yetu ni CHADEMA?
Hilo ndilo tatizo la watu humu JF. Wanasema mambo yasiyofaa kwa kuwa tu wanatumia majina bandia.Elimu na ubavu unaonekana tu kwenye maandishi. Hata credibility yangu tu na Yako humu JF zinalingana?
Tatizo mnapenda kujitunisha humu coz Una fake ID huko nje naamini we ni hoehae mmoja tu hata Lumumba hawakutambui. Wenye Hela na Elimu huwa hawatoki mishipa kuprove Hilo maana liko obvious.