Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Kitaalam, hiki ulichojaribu kufanya ni 'kuhamisha milingoti ya magoli', kuwa tuache kujadili kosa kubwa na tuanze ramli ya kosa dogo.

Kwenye huo mjadala sitakuwepo, na mkimaliza mnijulishe mlivyofanya majumuisho.

Ova
 
Kama alikuwa anafanya mawasiliano ambayo hayana masilahi mapana kwa taifa kwa nini msimkamte na kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria (Mahakama) kuliko kujichukulia sheria mkononi ninyi wenyewe mkawa ninyi ndio mahakama, ndiyo mtoa hukumu, mkamshambulia mtu kwa nia ovu ya kumuua????
Lissu si Gaidi au Jambazi hadi umfanyie ukatili wa namna ile.
Hakuna popote serikali imethibitishwa kuwa ndiyo iliyo mshambulia Lissu ukiacha porojo zake na wenzake
 
Wewe msukule wa Makonda na Chura Kiziwi, sikiliza.....

Unaokoteza statements za kwenye mitandao bila hata kujua wala kuelewa mantiki (logic) yake ili mradi uufunue, uuweke wazi na uhalilishe ujinga wako....

Na napata mashaka kuwa, likely hata lugha ya malkia inakupiga chenga wewe maana ulichokipost hapa contextually, it's quite irrelevant na kilichofanywa na serikali ya Magufuli na CCM dhidi ya Tundu Lissu mwaka 2017...

Kama Tundu Lissu "was a threat to our national security or national interests" , kwanini serikali isiseme sasa ili wananchi tuelewe na tuseme kuwa, "....for these reasons, Tundu Lissu was and he's a threat until now and therefore his right to life has to be denied by shooting and killing him.."

Na nikwambie kitu chawa comte.....?

Tundu Lissu had never been, he is not and he will never be a threat to our national security or interests......!!

Nevertheless, he was a threat to CCM and John Pombe Magufuli's government existence and he's still a threat to CCM and Chura Kiziwi - Samia Suluhu Hassan's stupid failed government administration.....!

Tofautisha "taifa au nchi" na dudu linaloitwa "serikali". Hizi serikali huja na kuondoka. Nchi au taifa liko pale milele na milele. Nchi au taifa ni sharti lilindwe kwa nguvu zote....

Lakini dudu linaloitwa "serikali" linaweza kupingwa na kuzomewa from day one linapojitangaza na kuanza kazi yake iwapo lipo pale bila uhalali wa kisheria na kisiasa....

Na kamwe sio kosa la jinai kuikataa na kuipinga na kuirushia mawe ya kila aina serikali yoyote iliyo madarakani kama mtu au watu hawakubaliani nayo...

Tundu Lissu alipigwa risasi 37 na 16 kumpata sawia mwilini mwake kwa lengo kuutoa uhai wake si kwa sababu ni threat kwa national security/interests bali ni kwa sababu alikuwa na bado na ataendelea kuwa kikwazo na tishio kwa uhai wa CCM na serikali yake.....

Na ndio maana mpaka leo hamsemi lolote kwa kutuonesha "ugaidi wake" na badala yake mnajificha kwenye ujinga na upumbavu wenu kwa sababu nyie ni wapumbavu na ndivyo mlivyo....!!

Kwa hiyo acha ujinga na udanganyifu wako hapa
Sielewi hata unataka kusema nini ila ngoja nikusaidie; tukubaliane na msimamo wenu wa kijinga kuwaserikali lilitka na bado inatka kumuua Lissu;
  1. je walihitaji msaada wa Tigo kujua Lissuyuko wapi?
  2. Lissu aliposhambuliwa alipelekwa kwenye hospital ya serikali na kutibiwa na madaktari wa serikali; huoni kuwa hii ilikuwa inawapa serikali fursa nzuri ya kumalizia nia yao ovu wakati wanampa huduma ya kwanza na uokozi wa maisha? kwa nini hawakufanya hivyo?
 
Je ni halali kudukua? Tuanzie hapo
Siyo halali tu ila pia ni kwa mjibu wa sheria- yaani sheria inaruhusu. Hata hivyo serikali hakudukua , iliomba ikapewa na kwenye miliki ya hizo taarifa
 
..haruhusiwi kupata taarifa bila COURT ORDER.

..Mahakama inatakiwa iridhike kwamba kuna sababu za msingi za vyombo vya dola kupewa taarifa hizo.
Unadanganywa na Lissu- usimsikilize Lissu wakati wote kuna wakati huwa ni kichaa
 
Mpaka kina mzee Makamba waliduliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikiwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.
dhalimu ni baba yako na mamako waliosababisha mimba yako kupatikana vichakani
 
Kwa nini hamtaki uchunguzi ufanyike?
Mkuu twende na mawazo ya Lissu
  1. serikali ikongozwa na makonda ilitaka lissu afeLissu akapigwa risasi akanusurika
  2. watu wa serikali wakampeleka hospital, hospital ya serikali, madaktari wa serikali akiwemo katibu mkuu wa serikali
  3. Lissu akapewa huduma ya dharura ya uokozi wa maisha- NA SERIKALI ILIYOTAKA KUMUUA?!
Ni stahiki yako kumsikiliza Lissu ila ujue mda mwingi Lissu anakuwa kwenye hali ya ukichaa
 
Mkuu twende na mawazo ya Lissu
  1. serikali ikongozwa na makonda ilitaka lissu afeLissu akapigwa risasi akanusurika
  2. watu wa serikali wakampeleka hospital, hospital ya serikali, madaktari wa serikali akiwemo katibu mkuu wa serikali
  3. Lissu akapewa huduma ya dharura ya uokozi wa maisha- NA SERIKALI ILIYOTAKA KUMUUA?!
Ni stahiki yako kumsikiliza Lissu ila ujue mda mwingi Lissu anakuwa kwenye hali ya ukichaa
Kwa nini hakulazwa hospitali za Tanzania na badala yake akalazwa nje ya nchi?
 
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Sasa kama serikali tu haitakiwi kuingilia na kujua mawasiliano, wewe ni nani hadi ujulishwe? 😂
 
Kwa nini hakulazwa hospitali za Tanzania na badala yake akalazwa nje ya nchi?
Lissu alipelekwa Nairobi na CHADEMA kwa msaada wa mbunge wa CCM TUKI huku mbowe akidandia lift kama muuguzaji mkuu huku nia yake ilikuwa ni kuiba faili la matibabu ya Lissu.
Tunakumbuka wote kuwa Bunge kwa utaratibu walitaka apekekwe Mhimbili na ingelazimika angepelekwa nje kwa matibabu zaidi. CHADEMA WAKAKATAA. hII NDIYO CHANZO CHA SERIKALIKUKOSA NGUVU ZA KULIPA MATIBABU YA LISSU
 
Mkuu twende na mawazo ya Lissu
  1. serikali ikongozwa na makonda ilitaka lissu afeLissu akapigwa risasi akanusurika
  2. watu wa serikali wakampeleka hospital, hospital ya serikali, madaktari wa serikali akiwemo katibu mkuu wa serikali
  3. Lissu akapewa huduma ya dharura ya uokozi wa maisha- NA SERIKALI ILIYOTAKA KUMUUA?!
Ni stahiki yako kumsikiliza Lissu ila ujue mda mwingi Lissu anakuwa kwenye hali ya ukichaa
Kwamba hatujui aliposema serekali ilitaka kumuua anamaanisha nini, na serekali iliyompa huduma ya kwanza ni katika mazingira gani? Au unadhani kila mtu huko serekaklini huwa anashiriki uovu?
 
Kwamba hatujui aliposema serekali ilitaka kumuua anamaanisha nini, na serekali iliyompa huduma ya kwanza ni katika mazingira gani? Au unadhani kila mtu huko serekaklini huwa anashiriki uovu?
Kwa hiyo walikuwa wamejipanga kwa kupishana- waovu (wema) waovu (wema). una mchumba?
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Makini sana
 
Back
Top Bottom