Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya


Ninesikiliza leo Rais... Nimethibisha pasi na shaka ana watu wachache wanaomsaidia kwa dhati ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni
 
Hivi mkuu unakumbuka ile thread yako uliyo tabir magufuli kuwa rais wa tz??
Naomba utuwekee hapa
 
Hawa watu huwa sielewi wanataka nini?
 
You missed the point big time.
 
Solution ni nini?
mimi ninayo
Ni way Aliyepo Aleftishwe kwa manufaa ya Umma.

2025 turudi tena under strongly dictatorship.
Ufumbuzi ni kutoa battery za remote, itabidi badala ya kukaa kwenye kochi ukisinzia uamuke kwenda kuwasha, kuzima na kubadili channel. Kama hutatoa battery, basi remote chapa mzoga itazidi kufanya kazi zake huko kwenye runinga, huku mwenyewe ukiwa unaupiga mwingi kwenye sofa sebuleni.
 
Upinzani gani unaouongelea hapa? Wa Zitto ambao ni washirika wa CCM Zanzibar, au Mbowe Gaidi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninesikiliza leo Rais... Nimethibisha pasi na shaka ana watu wachache wanaomsaidia kwa dhati ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni
Achana na ndoto za ABUNUASI.

Juzi tu Hapa Magu amethibitisha Rais ni kila kitu.

Ila kuna watu mna akili ndogo za kisahaulifu kama MAVI.

FACE THE REALITY ASS.HOLES
 
Hivi inakuwaje mtu mzima anakuwa mfuasi wa mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…