Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

Mwezi mmoja na siku kadhaa zinaendelea kuonyesha shauku ya watanzania kuona viongozi wasaidizi wa mkuu wa nchi na waziri mkuu walitangazwa na kuwaona wakifanya kazi, baada ya Rais kuwatangaza na kuwaapisha mawaziri wawili, waziri wa fedha na mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki, wakitegemea siku si nyingi majina ya wateule wengine wapo ubaoni.

Wajuzi na wachambuzi wa mfumo wa kiuongozi wameongea na kujadili mengi ila uhamuzi lazima unafanywa na walioshika mpini.

Kuanzia leo jioni au teseme mwishoni mwa juma hili balaza jipya linaenda kutangazwa na kuna baadhi ya mabadiriko yanaenda kuonekana kwa viongozi wengi waliokuwepo hapo nyuma kukatwa na kuwekwa mawaziri na manaibu wapya kabisa.

Tega sikio kujua nani ni nani ndani siku hizi mbili ndani au nje balaza linapotangazwa.
Wewe ndio mwenye shauku mkuu ,mimi sitaki hata kuwe na mawaziri ,maana watatumia mivieite na kumaliza kodi zetu tu bure! bora iendelee hivi hivi ,mitno tena.
 
Natabiri litakuwa baraza la mawaziri 'waoga' na wapenda sifa za 'kijinga' kumzidi hata aliyewateua.!
 
Ukafanye nini mkuu
mkuu kazi nanukuu " mimi rais ninamanafasi mengi" hivyo mimi kama uvccm raifa sidhani kama takosa hata unaibu😂😂 ukisikia tu comredi Magema Gagi amekuwa naibu waziri wa sera bunge na utumumishi jua tayari nimepata shavu😂😂
 
Sidhani kama ni afya sana/ ni sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Unadhani kupanga Baraza la Mawaziri ni kama kupanga mafungu ya embe?

Tulia kwanza maana najua umebet na una dalili ya kuchaniwa mkeka
 
Back
Top Bottom