Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Asikutanie kabisa huyo, huwa ananileteaga sana visirani, hadi kufoka huwa anafokaHii vita yangu rasmi mbona,,Leo nimemulewa Babalevo Kwa Nini vita ya Diamond huwa inakuwa yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo anakuogopa na kukuheshimu sana, kwako hanaga kauli mseme mpaka anyooke