Huwajui wabongo vizuri kijana.jipange uje tena wabongo wapo juu sana tungestahili tuwe watatu au nne co hiyo aliyoweka hapoMademu wengi bongo wamejichubua hata hiyo namba nane wamependelewa.
Mademu wengi bongo wamejichubua hata hiyo namba nane wamependelewa.
Wenye sura mbayaAchana chezea wa Nigeria aisee... Kule kuna watoto wana shape....
Kwani unakaa mkoa kwenye wanawake wabaya mkuu?Mademu wa kibongo chura wa kubahatisha wengiii wao wako flat... Afu hats kisuraa bado bado... Jamani tuweni wa kweli eti
Pole mkuu kwa kuishi kwenye mkoa wenye wanawake walevi waota vitambi.Ndio dada zako wa mkoani kwako inabidi tu ukubali lakini usigeneralize,mabinti wa TZ ni wakali huwezi kufananisha na makopo ya Kenya au Nigeriabora wangechubua tu.matumbo makubwa kama mabomu.manyonyo yana ovateki kitovu
Khaaaaaaa!!! Niombe msamahaEvelyn ni mkurya wa Rorya.... [emoji3]
Nigeria kuna make ups tu hakuna kitu weweBig noo labda # 8 maana kuipiku Nigeria haiwezkan mis Evelyn
Kwa uthibitisho zaidi kuwa wanawake wa Tanzania sio watu wa mchezo mchezo 😀Mbona umeeka picha yako tena ticha!???
Mi nimeingia ili kuangalia picha tu ila nashangaa uzi mzima umejaa maneno tu.Tupicha basiii......
Mi nimeingia ili kuangalia picha tu ila nashangaa uzi mzima umejaa maneno tu.
Maneno hayasaidiii, weka picha ili udefend hoja yako
Mi ni mwanamke wa mkoaniYeah nilikuwa nakuvizia mitaa ya Morocco nione kama kuna siku ntakufananisha duh kumbe nasubiri Meli Ubungo...
Wanawake wa bongo labda mnaongoza kwa kuchuna ila kwa uzuri Hanna kitunilitaka kusema nikaogopa.
take five mkuuu wamesema uongo kabisa
Mkuu kwa hiyo picha lazima wametupendelea. Labda 10 ndo tunastahili. Naamini Eveline Salt alikuwa hamaanishi kama ni yeyeKwamba hujaona picha ya ticha Evelyn Salt!????
Weeee flat hapa bongo ziko mko mmoja tu Usiniulize ni upi, japo siku hizi wanachanganyika wanaoana na makabila mengine si haba mabadiliko yanaonekana hopefully miaka ya baadae huo mkoa nao utachomokaMademu wa kibongo chura wa kubahatisha wengiii wao wako flat... Afu hats kisuraa bado bado... Jamani tuweni wa kweli eti
Afu nyie na huko Mara ohooo bora hata mnisingizie nipo KenyaAaaaah hatari aisee kwa mwendo huo wacha Kenya na Nigeria wawe juu maana hakosi alama ya kovu, mimi ninahuruma sana sitaweza kumdunda kila siku kuonesha upendo.