Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa burger na hotdog ni mkate ,wanacheza na majina tu
jioni ya leo sina hamu ya kula ugali au wali, nakula mkate kwa juisi nilale. Nikikosa mkate nakula matunda sahani imejaa inatoshaNilishangaa nigeria kuna ugali, tena ugali kwa mlenda, nilijua ni tanzania tu ndio wanakula ugali kumbe hata nchi za afrika magharibi ugali upo. Huenda ugali ukawa ni chakula maarufu duniani.
Siyo umasikini hata kidigo! Chakula ni sehemu ya utamaduni. Nilicheka sana nilipokuwa namsikiliza Rais wa Burundi wakati anahojiwa na BBC ni chakula Gani anakipenda alijibu maharage!Sema Mkuu huku Tz Maisha magumu Sana that way tunaishia kula ugali.
Mikate sio ile mnayo uziwa.Kuna mikate ya ukweliHivi kweli ule mkate then ukabebe zege?acheni utani
Kuna mikate arusha inauzwa hadi sh 10,000, ni whole grain,ule mkate huwezi maliaza silesi 10.ile mnayo uziwa madukani sio mikate ni uchafuKweli mkuu bongo misosi Mingo sana
Ni kweli,Niliwahi fika hospital ya Ikonda iliyopo Makete. Wao wanavipaza sauti kwa maana ya kutolea elimu ya Afya. Kilichoniduwaza ni pale walipokuwa wanashauri suala la lishe na kuhimiza vyakula vifuatavyo ni chakula taka. 1. Mandazi 2.chapati 3. Vitumbua. Na vinginivyo vya ngano vya kukaanga mnavyovijua. Kuanzia pale Huwa nakula kwa nadra sana hivyo vitu
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alilisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Zenji nzima huwez Kuta mikate ya supaloaf ni mwendo wa boflo tu,Nenda Zenji tu mtu anakula dinner boflo kwa maharage
Wanaokula mikate ndio wenye akili kuliko wanaokula ugaliKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alilisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Niliiona hii nilicheka kinoma nikaimagine yaani daa eti yaani kwenye mlo usipoweka maharage haelewi isee inawezekana mwamba akija kwenu halafu anuse harufu ya ndondo na hamjampa anaondoka anasikitika daa wameamua kuninyima maharage powa tu!Siyo umasikini hata kidigo! Chakula ni sehemu ya utamaduni. Nilicheka sana nilipokuwa namsikiliza Rais wa Burundi wakati anahojiwa na BBC ni chakula Gani anakipenda alijibu maharage!
Kuna Ndugu yetu alikuwa china kusoma, Kuna wakati tulimtumia unga wa Dona Ili apike ugali maana alikosa hata Raha ya kuishi huko.
Tatizo la nguvu za kiume halipo ila wafanyabiashara wa mitishamba walitengeneza liwe tatizo ili wapige hela kwa kulitangaza sana.Unalosema ni kweli kabisa na ninashangaa inakuaje hapa bongo kunakuwa na tatizo la nguvu za kiume wakati tuna vyakula vyenye nguvu na virutubisho.
Sasa mfano SA nilifika nikakuta machakula hayaeleweki nikajiuliza hawa wanaishije. Nadhani kibongo bongo tuna tatizo la kukinai ngono lakini kwa nguvu siamini hata kidogo kwamba kwa kula chipsi yai ndio kufanye mtu asiwe na nguvu za kiume wakati zipo nchi hawajui wali na wakipika wali wao utakimbia.
Mayonnaise ndiyo vitu gani mkuu ?Mkate ninakutengenezea salad ya mahindi yaliyochemshwa, mayai yaliyochemshwa, mayonaise, mustard. Utajilamba.
Silesi 10???? Duu!Kuna mikate arusha inauzwa hadi sh 10,000, ni whole grain,ule mkate huwezi maliaza silesi 10.ile mnayo uziwa madukani sio mikate ni uchafu