Mkuu mkate nchi zingine ni desturi,,
Kwetu huwezi kushindia mkate wakati kuna mihogo, viazi vitamu magimbi, matunda kama yote mboga fungu 500 sasa mkate wa nini?
Vitumbua, chapati , mandazi,vipo
Utasumbukaje na mikate?
Supu mtori, kongoro,mkia vipo mpk kichwa cha mbuzi, mapupu, utumbo vipo.
Utakulaje mikate?
Ukiona mtu anashindia mkate huko unapita ni njaa tu.
Ni chakula cha bei rahisi wanachoweza kukimudu kikawapitisha siku mbili tatu.
Akimega pande moja la boflo akateremshia na cola
Baas mpk kesho.