Nchi Wahisani hawatakubali kutoa fedha zao iwapo watabaini wapinzani wa kutumika ndio wataongoza kamati za fedha za Bunge

Nchi Wahisani hawatakubali kutoa fedha zao iwapo watabaini wapinzani wa kutumika ndio wataongoza kamati za fedha za Bunge

Tatizo mmekariri upinzani ni CHADEMA pekee. Magu ana nafasi kumi akichukua Queen Sendiga, Mbatia etc kisha jumlisha wa Nkasi na wa CUF upinzani ushakamilika kuongoza hizo kamati mnazolilia.
Unaelewa maana ya upinzani? Yaani mtu akuteue ili ukampinge, ukitafakari kwa akili yako ya kawaida unaona inaleta maana?!
 
Mwanzoni ulisema hivyo?Endeleeni tu na hujuma zenu iko siku tutafika huko.
Sasa mliitisha màandamano ya Nini Kama hamkuwa tayari kuandamana? Subiri " mfike huko" ndo muitishe màandamano la sivyo mtabaki wachumba wa Askari tuu.
 
Kwahiyo Wahisani wasipotoa Pesa Tanzania inakufa?

Ni haki yao kutoa pesa au la. Hakuna anayewalazimisha na wao wasitulazimishe tukiamua kufanya tunavyotaka!

Tukinyimwa Pesa na Wahisani itatusaidia kutafuta njia zingine za kukabiliana na changamoto hiyo.
Unanjia gani mbadala yakupata fedha wewe,subiri njaa itungute sawasawa kuliko ya miaka 5 iliyopita.
 
Ni Imani yangu walioweka sharti kamati za Bunge: PAC, POAC na LAAC ziongozwe na Wapinzani, walijua umuhimu huo wakiamini wapinzani wana nafasi nzuri zaidi katika kuibana serikali kwenye suala zima la matumizi ya fedha za Umma na zile zinazotolewa na wahisani.

Kwa sababu hiyo, naamini mpaka sasa wahisani hawa watakuwa wanafuatulia, na hivyo wana taarifa zote za nini kinaendelea hasa kuhusu tuhuma/ madai ya NEC kupeleka majina ya Wabunge wa viti maalum wa CHADEMA huku CHADEMA wakikana majina hayo.

Katika hili sakata, ninachotarajia kukiona ni wafadhili kusita kutoa fedha zao iwapo watajiridhisha juu ya madai hayo na watakuwa tayari tu kutoa hizo fedha pale kamati hizo zitapoongozwa na watu wanaostahili na si vinginevyo.

Kama tungekuwa na Uchaguzi Huru na wa Haki, na CCM wakashinda viti vyote, basi hapo hata wafadhili wengeona umuhimu wa kutazama upya jambo hili au kuangalia kanuni zinasemaje iwapo itatokea wapinzani wanashindwa kihalali katika Uchaguzi, lakini sio kwa Uchaguzi huu na zaidi si kwa hizi tuhuma za kutaka kufoji majina ya Wabunge wa viti maalum kutoka Upinzani ili wakaunde hizo Kamati.

Huu pia, kulingana na mtazamo wangu, unaweza kuwa ni mbinyo wa awali wa kulazimisha tuwe na mifumo huru ya Uchaguzi na hata kukazia madai ya Wapinzani kutaka Uchaguzi urudiwe.

Muda utaongea.
Acha ndoto zako za alinacha wewee, kwani hela ni zao au zetu? mbona mnapenda sana kutukuza utwana? Hatutegemei hela za wahisani sisi, hujui kuwa sisi ni matajiri? Imeisha hiyoooooooooooo
 
Ukitafakari kwa akili yako huyo chadema wa nkasi na huyo wa cuf sio wapinzani?mnajisahaulisha tu
Unaelewa maana ya upinzani? Yaani mtu akuteue ili ukampinge, ukitafakari kwa akili yako ya kawaida unaona inaleta maana?!
 
Kwahiyo Wahisani wasipotoa Pesa Tanzania inakufa?

Ni haki yao kutoa pesa au la. Hakuna anayewalazimisha na wao wasitulazimishe tukiamua kufanya tunavyotaka!

Tukinyimwa Pesa na Wahisani itatusaidia kutafuta njia zingine za kukabiliana na changamoto hiyo.
Vijana walimu wanahitaji ajira13000, mnataka kupotezea,tungeni uongo kuwa mmeshawaajiri tayari kama kawaida yenu
 
Ukitafakari kwa akili yako huyo chadema wa nkasi na huyo wa cuf sio wapinzani?mnajisahaulisha tu
Me sijazungumzia hao walio chaguliwa, nimejibu comment yako uliyodai kuwa rais anaweza kuteua wapinzani 10 kwa mamlaka aliyopewa na katiba ili wakaongoze hizo kamati.

Ndipo nikakuhoji, kwa maana ya kawaida ya upinzani unawezaje kumteua mtu ili akakupinge?
 
Comment yangu niewaweka wote pamoja. Mbona mbatia alishachaguliwa kwenye hizo siti 10 na mkaungana nae kwenye kupinga pinga.

Pia usiibadili ile comment hakuna nilipoandika wabunge wote 10 etc haimaanishi kumi ni ka alama ka jumlisha hata moja
Me sijazungumzia hao walio chaguliwa, nimejibu comment yako uliyodai kuwa rais anaweza kuteua wapinzani 10 kwa mamlaka aliyopewa na katiba ili wakaongoze hizo kamati.

Ndipo nikakuhoji, kwa maana ya kawaida ya upinzani unawezaje kumteua mtu ili akakupinge?
 
Hakujawahi kuwa na uchaguzi huru na wa haki ila kwa kuwa safari hii wakina Mbowe na wenzie hawakwenda bungeni basi ndio wamekazia kuwa uchaguzi sio wa haki na hadi kuzuia wengine kwenda bungeni wakati chaguzi zilizopita hatukuona wakifanya hivyo.
 
Kwahiyo Wahisani wasipotoa Pesa Tanzania inakufa?

Ni haki yao kutoa pesa au la. Hakuna anayewalazimisha na wao wasitulazimishe tukiamua kufanya tunavyotaka!

Tukinyimwa Pesa na Wahisani itatusaidia kutafuta njia zingine za kukabiliana na changamoto hiyo.
Bahati mbaya haujui nguvu ya nchi waisani. Google ujue kilichopelekea Zinbabwe na Mugabe wawe walivyo leo. Pqmoja na utii wa jeshi la Zimbabwe kwa Mugabe njaa iliwauma wakampindulia mbali. Al- Bashiru wa Sudan yupo the Hague ICC baada ya jeshi kuchoshwa na vikwazo. Mzee Baba leo ni mzuri kwako lakin ikifika hatua mafuta ya petrol lita moja ikauzwa elf 50 ndo utawajua vzr hao unaowabeza. Nchi zote zinazotuuzia mafuta ni Washirika wa US, leo USA akiwachimbia mkwara wasituulizie mafuta salama yetu itakuwa wapi. Daladala nauli itakuwa elfu 5 kutoka mia 4. Hao watu acha usiwashibe shalubu zao tutaumia
 
Sasa kwanini leo hii mnatuhumiwa kufoji majina wakati mna njia mbadala za kupata hizo fedha?!

Mmelikoroga, sasa mlinywe.
Wanahangaika mno; wanataka kuhalalisha dhuruma!!

Zigo la dhambi linawaelemea... kwanza wengi wao hawana furaha kabisa!! we angalia body language zao!! Dhambi inakula nafsi taratibuu!!
 
Kwahiyo Wahisani wasipotoa Pesa Tanzania inakufa?

Ni haki yao kutoa pesa au la. Hakuna anayewalazimisha na wao wasitulazimishe tukiamua kufanya tunavyotaka!

Tukinyimwa Pesa na Wahisani itatusaidia kutafuta njia zingine za kukabiliana na changamoto hiyo.
Kama mkizikosa hizo pesa hamuwezi kufa ni kwa nini hamjawahi kusema hamzihitaji? Mumesubiria ionekane mtanyimwa ndio muanze kujifaragua kuwa hata zikikosekana mtaishi tu?
 
Back
Top Bottom