niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Mimi nilidhani baada ya viongozi wenu kukamatwa ndio moto ungelipuka zaidi.Kama walisusa, kulikuwa na haja gani ya kukamata viongozi wa upinzani kabla hata ya hayo maandamano na kutisha wanaotaka kuandamana?