Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kama majina ni ya kufoji hao machadema hayatakwenda bungeni. Kama wakienda na mkashangilia ujue ni uamuzi wa mwenyekiti wa saccos maana anataka mishahara ya hao vitu maalumSasa kwanini leo hii mnatuhumiwa kufoji majina wakati mna njia mbadala za kupata hizo fedha?!
Mmelikoroga, sasa mlinywe.