Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
 
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland
Sijui Finland kaona russia hatakuwa na power ya kupiga Nchi zote so kaona hapa hapa wakati mruusi anazubaa na ukraine yeye ajiunge...
?

Mfano nchi mbili zikitangaza kujiunga na NATO mtusi ataweza kuzipiga hizo nchi zote ama ndio atazidi kudhoofishwa ?
 
Sijui Finland kaona russia hatakuwa na power ya kupiga Nchi zote so kaona hapa hapa wakati mruusi anazubaa na ukraine yeye ajiunge...
?

Mfano nchi mbili zikitangaza kujiunga na NATO mtusi ataweza kuzipiga hizo nchi zote ama ndio atazidi kudhoofishwa ?
Putin kashikwa pabaya mwaka huu fikiria kule Ukraine kashindwa kuikamata kyiv sasa ndio aende Sweden & Finland kwa wakati mmoja
 
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Wawezakuta NATO na EU wana uwepo wao hapo na hata hao Raia wazalendo walioomba kujiunga na hilo jeshi ni wa mchongo tu
 
Ndio supapawa wa mchongo aende kuvamia sasa
Hata supa pawa wako akitaka hata vamia tz ataita collabo la wana wake, wakati master show anaisimamia mwenyewe.
Nimeona supa pawa wako yani US, Australi, na UK wamemtumia mwaliko Japan aungane nao katika kutengeneza silaha za hypersonic.
Mrusi na Mchina ndio wazee wa one man show waliobaki
 
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Kama ni wababe wa michongo wanatishika na nini,ila SII vibaya huenda wameona mwenzao aliyetamani kujiunga Nato mchongo alivyochapika🤔
 
Back
Top Bottom