Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

US hanaga makelele,yeye anfanya kimya kimya.Makelele mengi wanayo wakomunist
... makelele na mbwembwe husaidia kuficha udhaifu contrary to reality. Huwa wana ule mkwara wao wa kuingiza mavifaru na makombora mitaani kwenye yale maparade ya kila mwaka kuwahadaa wananchi wao. Huwa nacheka kinoma.
 
Tatizo hata viza yenyewe tu hutopata,nenda Russia viza nnje nnje [emoji3]
Hao ni wanafiki tu hata wenyewe hawana hamu ya kwenda Russia hata awape hiyo visa. Marekani ndio nchi inayoongoza kwa visa yake kuombwa na watu wengi duniani.

Visa ya Marekani huombwa na zaidi ya watu milioni 50 kwa mwaka. Russia sidhani hata kama waombaji wanafika 50,000 kwa mwaka.
 
Hao ni wanafiki tu hata wenyewe hawana hamu ya kwenda Russia hata awape hiyo visa. Marekani ndio nchi inayoongoza kwa visa yake kuombwa na watu wengi duniani.

Visa ya Marekani huombwa na zaidi ya watu milioni 50 kwa mwaka. Russia sidhani hata kama waombaji wanafika 50,000 kwa mwaka.
Huwa wanaendaga wanafunzi kwa ufashili maalumu. Binadamu gani anayejitambua ataacha kwenda US, Europe, Canada, Australia, au Japan aende Russia? Hata wajamaa wenzia China hawaendi.
 
N
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi

Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Nina ndugu huko Finland anasema kupo poa tu, hii habari Imeongezwa chumvi sana
 
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)

mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo

kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Urusi kakata moto ukraijr hawez kwenda finland watamfanya. Vibaya kama walivyofanya wakaz wa sodoma na gomora kwa wale malaika
 
Albert Enstein, anajulikana dunia nzima haijalishi unajua kiyahudi au hujui, Archimedes twamsoma tangu shule ya msingi haijalishi unajua kiyunani au hujui, Ohms twamsoma tangu shule ya msingi haijalishi unajua kijerumani au hujui Michael Faraday tumemsoma haijalishi twajua English au hatujui kazi/tafiti zao zinajulikana duniani kote na utawasoma tu kwenye lugha yako sasa why hao wa urusi mpaka ujue kirusi ndo uwajue? sizungumzii wingi wa wanasayansi nazungumzia kazi zao kutambulika dunia nzima na kusomwa kizazi mpaka kizazi na tafiti kuwa za kwanza. Kama wingi wa wanasayansi hata bongo tz tunao wengi tu hata hayati JPM alikuwa mwanasayansi lakini je kazi/tafiti zake zinajulikana dunia nzima? zinasomwa kizazi hata kizazi kwa kiwango cha hao niliowataja? na sijasema kuwa kuwa hawana no wanao mf ivan pavlov ila si wengi kiasi cha mfano ile ugiriki ya kale.
Kwahiyo unadhani kwamba yale madude wanayaunda mithiri sisieemuu wafanyavyo uchaguzi?
 
Huwa wanaendaga wanafunzi kwa ufashili maalumu. Binadamu gani anayejitambua ataacha kwenda US, Europe, Canada, Australia, au Japan aende Russia? Hata wajamaa wenzia China hawaendi.
Hata akina dikteta Putin na wapambe wake pesa zao wanaweka kwenye mataifa ya magharibi.

Wanafunzi wanaenda kusoma Russia kwa sababu vyuo vyao ni nafuu sana ukilinganisha na vya mataifa ya magharibi.
 
Back
Top Bottom