HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Putin ataondolewa na wenzakembona tulijua kuwa gadafi ataliwa kichwa kbla na akaliwa wewe kuwa nasubra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin ataondolewa na wenzakembona tulijua kuwa gadafi ataliwa kichwa kbla na akaliwa wewe kuwa nasubra.
Na ndicho kitatokea Poland atapewa Nukesna uzuri nyuklia sio kwamba anazo urusi peke yake so wanachama wa nato wanaopakana na urusi na wao wakiamua kuweka manyuklia mipakani itakuwa hatari kwa urusi pia.
Putin muoga, niliona zile bajaj zake Ukraine nikashangaa, juzi nimeona msafara una 504kwani hizo nyuklia anazo[emoji635][emoji635] peke yake ? . mwambie akae atulie .[emoji16][emoji16][emoji16]
Putin hawezi mobilize vita 2, hana resources na hapo kabana vingine kwa matumizi ya nyumbaniHawezi kukuelewa Mkuu,kama waliweza kuisambaratisha USSR watashindwaje kwa hili.Putin kauvaa mkenge pale Ukraine,atahangaishwa hapo huku Finland na Sweden wanaendelea na mchakato wa kujiunga NATO na hatokuwa na cha kuwafanya.
Nimegundua US huwa ana vitu ambavyo hatuvijui ila viko effectiveHiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watu
Hata sasa wana sayansi wanao wengi tatizo unajua Lugha ya Russia ?Hiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watu
Hivi kweli unaaminisha akili yako kuwa putini kashindwa vita kwa siku zisizozidi 60, au unataka kujifurahisha nafsiyako.Putin kashikwa pabaya mwaka huu fikiria kule Ukraine kashindwa kuikamata kyiv sasa ndio aende Sweden & Finland kwa wakati mmoja
Kamb alizoripua ni za baba ako?Kule Ukraine mrusi kawekeza nguvu nyingi kwenye kuyaporomosha maghorofa
... unike the eastern world, kuna kitu kimoja kinaiumiza kichwa western world kwenye medani za kivita - how to save lives? Wakati Russia yeye kuuwa kwa halaiki including wanajeshi wake mwenyewe kuteketezwa vitani kwake sio issue as long ushindi upo.Sijawahi kuziamini hata siku moja propaganda za Kikomunist.Tumejionea kwa jeshi lake lililokuwa linasifiwa jinsi linavyopigishwa kwata Ukraine. Ukitaka kujua hiyo ni mikwara mbuzi,mwanzo alisema watakiona cha mtema kuni,jamaa wamedare wanajiunga,sasa hivi anapindua maneno kuwa ataweka hiyo midoli yake mpakani.
[emoji1][emoji1] una moyo sana mkuu kubishana na hicho kiumbe.Menopause inakuja na changamoto zake kama hizo mzee.Sasa ulitaka RT ya wapi? Mbona hueleweki? Nimekuwekea CNN wamarekani umebisha, Nikakuwekea RT source financial times ya mwingereza umebisha, sasa nimekuwekea RT source satelite ya mrusi nako unabisha.
Basi hata hujui unasimamia wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unabisha ili mradi tu
Propaganda za magharibi kuwajaza wakomunisti, Jana wemesema Ukraine inashambulia ndani ya Russia.Acha kabisa mchina aliwatisha vibaya kabisa ukiona mpinzani wako hadi kakiri jambo jua hana namna
RT source FT, na FT ni chombo cha UK, na hapa jamii forums tunaamini vyombo vya magharibi ni vya kipropaganda.Sasa ulitaka RT ya wapi? Mbona hueleweki? Nimekuwekea CNN wamarekani umebisha, Nikakuwekea RT source financial times ya mwingereza umebisha, sasa nimekuwekea RT source satelite ya mrusi nako unabisha.
Basi hata hujui unasimamia wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unabisha ili mradi tu
Endelea kusoma nimeongeza habarbya rt ambayo imetokana na satelite za urusi na msemaji wa wizara ya ulinzinwa china. Nmeweka nukuunyankote koteRT source FT, na FT ni chombo cha UK, na hapa jamii forums tunaamini vyombo vya magharibi ni vya kipropaganda.
Kwamba russia akizibomb Finland na Sweden member wa nato wenye nazo wataogopa kumbomb russia?Shida ni kwamba Finland nanSweden hawana hizo kitu na kama ikitokea la kutokea wao ndo watakaoumia kwanza.
Acha nikajiunge na jeshi la Finland,nipambane kimchongo huku nikitoa siri za jeshi la Finland kwa The Great Mother RussiaNchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Weka source MkuuNchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
soma vizuri nilichoandika wapi nimesema USA ni ya kwanza kuinvest kwenye nyuklia? nimezungumzia timeline kati ya usa na russia ukweli ni kuwa usa ni wa kwanza kwenye kuiunda, kufanya trials na kufanya test live kweupeeee, huyo russia kudevelop na kufanya trials kaanza ilihali ya kuwa USA alishamtangulia.Mkuu hebu tafuta taarifa kwanza.
Hii technology ya Nuclear nchi ya kwanza kuinvent alikuwa ni Germany chini ya Hilter.
Baada ya Russia kumpiga Hitler, Russia na US waliichukua technology hiyo na kuanza kuunda hayo mabomu. Na ndo maana. Russia anayo approx 6K na US 5K.
Ila US ndio taifa la kwanza na pekee kuzitumia silaha za Nuclear.
Eeh ni za babaKamb alizoripua ni za baba ako?
Putin ni lazima afe na Urusi itaomba msamaha kwa duniaAcha kuota