thuwainize
Senior Member
- Jan 29, 2022
- 178
- 382
Hiyo teknolojia ya silaha za nyuklia USA baba lao huyo russia mwenyewe kaja kuijua wakati USA ashaijua kitambooo na ashaifanyia trial tests kibao na akafanya live test japan, halafu leo russia inabwekabweka na mbwembwe nyiiiingi as if teknolojia anayo yeye tu, warusi mbwembwe sana sipati picha if wangekuwa na wanasayansi ambao tunawasoma kwenye mavitabu tuliyosoma ya sayansi sijui ingekuwaje hawa watuKabisa,jino kwa jino.Kila siku anatishia Nuklia utadhani anazo peke yake,tena zake wala hajawahi kuzitest kama za US walau watu walishashuhudia kule Nagasaki na Hiroshima