wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
[emoji1][emoji1]... huyu mwehu ataumiza watu sana! Exactly behaviour zile zile za Hitler!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1]... huyu mwehu ataumiza watu sana! Exactly behaviour zile zile za Hitler!
Yaani mtu aache kumuamini kidume Putin afu aje amuamini Babu Biden na Ile dementia yake inayompeleka kwa kasi.No way lazima huyo mtu awe mwehu wa pale milembe.Watu wajinga Tu ndo watamtilia mashaka
[emoji1][emoji1] kwa hio inawezekana wewe ukawa unajua khs Putin kuwindwa kuliko FSB? InterestingPutin anachezewa hatari. Mmarekani sio wakushindana nae ni mnafki, mchonganishi. Mfitinashaji, wauaji, na hashindwagi. Putin kaingia cha kike kinachosubiwa ni uhai wake tuu.
Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
mbona tulijua kuwa gadafi ataliwa kichwa kbla na akaliwa wewe kuwa nasubra.[emoji1][emoji1] kwa hio inawezekana wewe ukawa unajua khs Putin kuwindwa kuliko FSB? Interesting
na uzuri nyuklia sio kwamba anazo urusi peke yake so wanachama wa nato wanaopakana na urusi na wao wakiamua kuweka manyuklia mipakani itakuwa hatari kwa urusi pia.Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Bila shaka NATO ndio wanataka iwe hivyo na itakuwa, huko mpaka tuingie mikataba ya kuheshimiana vya kutosha.na uzuri nyuklia sio kwamba anazo urusi peke yake so wanachama wa nato wanaopakana na urusi na wao wakiamua kuweka manyuklia mipakani itakuwa hatari kwa urusi pia.
kwani hizo nyuklia anazo🇷🇺🇷🇺 peke yake ? . mwambie akae atulie .😁😁😁Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Hawa Watoto wa Supapawa wa makaratasi wameshapagawa.Ile dissapointment ya majeshi ya Putin kule Ukraine inawafanya wafidie kwa kujipa matumaini hapa Jamvini.
Hii ni 'propaganda ya magharibi' tangu lini CNN akasema ukweli,tunasubiri RT watuthibitishie ndiyo chombo pekee kinachoaminika hapa Jamvini[emoji846]View attachment 2187526
Hii ndio iliwatia kiwewe maana mwanzo hata hawakujua ni usafiri wa anga za juu au silaha mpaka walipo analyze data.
Nimewaletea CNN nyie watu wa US maana ningeweka kutoka vyombo vya China mngebisha nikaamua niwaletee cha kwenuHii ni 'propaganda ya magharibi' tangu lini CNN akasema ukweli,tunasubiri RT watuthibitishie ndiyo chombo pekee kinachoaminika hapa Jamvini[emoji846]
Hawezi kukuelewa Mkuu,kama waliweza kuisambaratisha USSR watashindwaje kwa hili.Putin kauvaa mkenge pale Ukraine,atahangaishwa hapo huku Finland na Sweden wanaendelea na mchakato wa kujiunga NATO na hatokuwa na cha kuwafanya.subiri utaona mwisho wa hii ngoma.
Kabla ya hapo si alisema atakaejiunga atakiona cha moto,kumbe sasa imekuwa mikwara mbuzi tu. Watajiunga na hana la kuwafanya.Urussi amesema Finland na Sweden kama wanataka kujiunga na NATO mpaka kati yake na wao utalindwa kwa Nyuklia.
Yaani ataenda kusimika vichwa vya nyuklia mpakani kabisa vikiwachungulia usiku na mchana.
Kabisa,jino kwa jino.Kila siku anatishia Nuklia utadhani anazo peke yake,tena zake wala hajawahi kuzitest kama za US walau watu walishashuhudia kule Nagasaki na Hiroshimana uzuri nyuklia sio kwamba anazo urusi peke yake so wanachama wa nato wanaopakana na urusi na wao wakiamua kuweka manyuklia mipakani itakuwa hatari kwa urusi pia.
😄😄 Ndoto za alinacha.mbona tulijua kuwa gadafi ataliwa kichwa kbla na akaliwa wewe kuwa nasubra.
Ndiyo nasema hii ni Propaganda ya west hata siku moja CNN haisemi ukweli,sisi tunaamini habari za RT [emoji846]Nimewaletea CNN nyie watu wa US maana ningeweka kutoka vyombo vya China mngebisha nikaamua niwaletee cha kwenu
Ndiyo nasema hii ni Propaganda ya west hata siku moja CNN haisemi ukweli,sisi tunaamini habari za RT [emoji846]