Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

US hanaga makelele,yeye anfanya kimya kimya.Makelele mengi wanayo wakomunist
... makelele na mbwembwe husaidia kuficha udhaifu contrary to reality. Huwa wana ule mkwara wao wa kuingiza mavifaru na makombora mitaani kwenye yale maparade ya kila mwaka kuwahadaa wananchi wao. Huwa nacheka kinoma.
 
Tatizo hata viza yenyewe tu hutopata,nenda Russia viza nnje nnje [emoji3]
Hao ni wanafiki tu hata wenyewe hawana hamu ya kwenda Russia hata awape hiyo visa. Marekani ndio nchi inayoongoza kwa visa yake kuombwa na watu wengi duniani.

Visa ya Marekani huombwa na zaidi ya watu milioni 50 kwa mwaka. Russia sidhani hata kama waombaji wanafika 50,000 kwa mwaka.
 
Huwa wanaendaga wanafunzi kwa ufashili maalumu. Binadamu gani anayejitambua ataacha kwenda US, Europe, Canada, Australia, au Japan aende Russia? Hata wajamaa wenzia China hawaendi.
 
N

Nina ndugu huko Finland anasema kupo poa tu, hii habari Imeongezwa chumvi sana
 
Urusi kakata moto ukraijr hawez kwenda finland watamfanya. Vibaya kama walivyofanya wakaz wa sodoma na gomora kwa wale malaika
 
Kwahiyo unadhani kwamba yale madude wanayaunda mithiri sisieemuu wafanyavyo uchaguzi?
 
Huwa wanaendaga wanafunzi kwa ufashili maalumu. Binadamu gani anayejitambua ataacha kwenda US, Europe, Canada, Australia, au Japan aende Russia? Hata wajamaa wenzia China hawaendi.
Hata akina dikteta Putin na wapambe wake pesa zao wanaweka kwenye mataifa ya magharibi.

Wanafunzi wanaenda kusoma Russia kwa sababu vyuo vyao ni nafuu sana ukilinganisha na vya mataifa ya magharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…