TujikumbusheKuna kila dalili Yanga anapeleka Yutong zaidi ya 200 Rwanda.
Wasiwasi wangu ni je Rwanda wamejipanga kwa huu ugeni wakuu?
Kuna tetesi kuwa Kagame atakuwepo Rusumo kuwapokea wadau.
Yanga hana kazi ndogo hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TujikumbusheKuna kila dalili Yanga anapeleka Yutong zaidi ya 200 Rwanda.
Wasiwasi wangu ni je Rwanda wamejipanga kwa huu ugeni wakuu?
Kuna tetesi kuwa Kagame atakuwepo Rusumo kuwapokea wadau.
Yanga hana kazi ndogo hata kidogo.
Kwani tulifungiwa lini na hao FIFA mpaka tufunguliwe? Na tulifungiwa kufanya nini ambacho mpaka sasa hakijafanyika?Mmeshafunguliwa na FIFA?
Pole...shukuruni dirisha lilishafungwa ila mlipigw pin mpaka mumlipe Gael Biri....Kwani tulifungiwa lini na hao FIFA mpaka tufunguliwe? Na tulifungiwa kufanya nini ambacho mpaka sasa hakijafanyika?
Majibu tafadhali. Maana mimi kama shabiki, sina hiyo taarifa
Shule Ulienda kusomea ujingaKwanini wasikodi Dream Liners zikawapeleka na kuwarudisha siku hiyo hiyo?
Hizo ni story tu za wachambuzi snitch kama akina Bin Kazumari. Ukiendelea kuzisikiliza, shauri zako!Pole...shukuruni dirisha lilishafungwa ila mlipigw pin mpaka mumlipe Gael Biri....
Mmeshamlipa?
DoumbiaTulia wewe! Mchezaji gani amekulalamikia hajalipwa mshahara/stahiki zake?
Mbumbumbu fcWENYE AKILI TIMAMU NI WAWILI.
Kumbukumbu murua kabisaTujikumbushe
Ukiona huna madeni ujue wewe ni kichaaPole...shukuruni dirisha lilishafungwa ila mlipigw pin mpaka mumlipe Gael Biri....
Mmeshamlipa?
Utalii popoteKuna kila dalili Yanga anapeleka Yutong zaidi ya 200 Rwanda.
Wasiwasi wangu ni je Rwanda wamejipanga kwa huu ugeni wakuu?
Kuna tetesi kuwa Kagame atakuwepo Rusumo kuwapokea wadau.
Yanga hana kazi ndogo hata kidogo.
Watu wanataka kufanya utalii,pia wanatoka maeneo tofauti kama DSM, Kahama, Geita, Bukoba, Kigoma, MwanzaKwanini wasikodi Dream Liners zikawapeleka na kuwarudisha siku hiyo hiyo?
Wanauwezo wa kupokea costa tu.Kuna kila dalili Yanga anapeleka Yutong zaidi ya 200 Rwanda.
Wasiwasi wangu ni je Rwanda wamejipanga kwa huu ugeni wakuu?
Kuna tetesi kuwa Kagame atakuwepo Rusumo kuwapokea wadau.
Yanga hana kazi ndogo hata kidogo.