Nchi yenye wanasiasa Magaidi si sehemu salama kwa uwekezaji

Nchi yenye wanasiasa Magaidi si sehemu salama kwa uwekezaji

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Nchi nyingi zenye viashiria vya Ugaidi zimekuwa zikiyumba kiuchumi. Lakini pia raia wake upata shida Sana wawapo nje ya mataia yao kwa usumbufu wa upekuzi na ufauatilia unaomiza.

Kutangaza nchi kwamba ina viongozi Magaidi Ni kosa kubwa kiuchumi na kisiasa pia. Kwa Mataifa ambayo yanaelewa madhara ya Ugaidi mfano Kenya wananchi wake wanaposikia mtu akiitwa Gaidi umbagua na kumteketeza wanapopata nafasi kwa sababu gaidi anaua.

Kiimani pia tunaaminishwa kwamba unapoomba Jambo flani Mwenye zi Mungu anaweza kukupatia liwe baya au zuri ili ujifunze. Tunapaswa kuwa na viongozi wa kiroho wakuliombea Taifa, tunapowakumbuka mashakhe wa uahamsho tunajipaswa kutubu tusiwe Taifa lenye magaidi. Lakini pia nahofia Sana pale tunapoitangazia Dunia kwa sababu tunafungua milango kwa hao wanaoitwa magaid kujenga himaya hapa.

Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
 
Uwekezaji katika serikali ya CCM ni risk taking.
imagine hata kulima tu ni shida na too risk ni kama kubet tu maana pembejeo zimepata gharama sana.....ikiwa kilimo ni risk hivyo nani atadhubutu kujenga kiwanda? Malighafi anatoa wapi ikiwa kilimo ndiyo hivyo tena?

Burundi nako kanchi ni kadogo hakatatutosha sisi sote
 
imagine hata kulima tu ni shida pembejeo zimepata gharama gharama......kama kilimo cha mkono uis that expensive and risk nani atadhubutu kuja kuwekeza kiwanda? Malighafi anatoa wapi ikiwa kilimo kimekufa?

Burundi nako kanchi ni kadogo hakatatutosha sisi sote
Ukiuza mazao malipo ukirushiwa kwa simu yanakatwa tozo mara tatu.
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
 
Ni swala la muda tu,huko mwanza kumegundulika genge la vijana wenye itikadi za kigaidi na uasi juu ya serikali.

Uchunguzi bado unaendelea na soon mtatangaziwa,msione Rais kachachamaa mkadhani ni easy tu,watu wamemgusa pabaya
 
Mungu ajalie siku moja tuwe na hao magaidi kweli,maana Wana hamu nao Sana
Mungu ajalie siku moja tuwe na hao magaidi kweli,maana Wana hamu nao Sana
 
E5EB75yXoAgA7fS.jpg

Maccm akili hawana kabisa
 
Mungu ajalie siku moja tuwe na hao magaidi kweli,maana Wana hamu nao Sana
Usiombee hili mzee, hao hao wanaosema kuhusu magaidi idara yao ya kuzima moto haiwezi kuzima moto wa kiberiti, moto wa ugaidi watauweza?

Tumuombe Mungu aingilie kati tu atunyooshee baadhi ya watu. Ameruhusu wakapewa dhamana na wananchi, milo minono wanayokula wamevimbiwa na imewalewesha.
 
Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
Wanaanza kuwaalika wale majamaa wa kule Msumbiji
 
Nchi yenye magaidi, nchi ambayo kodi zake sio stable, zinabadilika mara kwa mara sio salama kwa uwekezaji. Angalia sekta ya Mawasiliano ulivyoshushiwa mikodi. nani atapenda kuwekeza huko?
 
Kipi bora udanganye upo salama watu waje wakishafika ulipue bomu ama useme haujiamini na hali uliyonayo kwa sababu vitu ulivyovikanyaga hauvielewi, hivyo watu wasije mpaka uhakikishe vitu hivyo si vya hatari!?

Hivi unadhani utaaminika sana kwa kufany jambo lipi kati ya hayo mawili!?

Kanuni moja wapo ya uchunguzi, lazima utuhumu.....! Vinginevyo, uchunguzi ni zero!
 
Back
Top Bottom